technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Me kiufupi ni shabiki wa nyimbo fulani hivi kama wanazoimba Sauti solo
Toka muda nawafatili jamaa ila sasa naona hii ngoma imekuwa bonge la wimbo
Kiufupi jamaa wanaprove wanajua wasanii wa bongo kuna cha kujifunza kwa jamaa uwa hawabatishi kabisa wakitoa wimbo.
Toka muda nawafatili jamaa ila sasa naona hii ngoma imekuwa bonge la wimbo
Kiufupi jamaa wanaprove wanajua wasanii wa bongo kuna cha kujifunza kwa jamaa uwa hawabatishi kabisa wakitoa wimbo.