Sauti Solo- Suzanna

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Me kiufupi ni shabiki wa nyimbo fulani hivi kama wanazoimba Sauti solo

Toka muda nawafatili jamaa ila sasa naona hii ngoma imekuwa bonge la wimbo

Kiufupi jamaa wanaprove wanajua wasanii wa bongo kuna cha kujifunza kwa jamaa uwa hawabatishi kabisa wakitoa wimbo.
 
Nawakubali Sana Hawa JAMAA hasa ile Ngoma yao ya kwanza kwenye ile ves inasema sijui piga gesi kidogo Sula yako mzuri mama?
 
Naunga mkono hoja ,wana hits nyingi sana , naipenda sana tujiangalie,extravaganz na melanin
 
Binafsi sio mpenzi wa muziq wa sauti solo,,,,Ila ngoma ya Suzana imenibamba kinomaaaa,,,,,,,haswa inavyooanza ule mdundo wa Uzi wa gita la base.
 
Nereaa usitoe mimba yangu mama Mungu akikupa mtoto analeta baraka zake mama.

Huu wimbo enzi hizo dah.....


Ikaja ile Sura yako muzuri mamaaa aa eeee aaeee.......

Isabela. Hii ngoma sina cha kuogezea. Enz hizo namfatilia bint anaitwa hilo jina.

Then ile collabo na ally kiba. Im not the fan for ally but kwa hii ngoma aliua kabisaa ile saut yake nilizidi kuwaelewaa......

Kuliko jana.... wimbo wangu wa mara zote. Faraja yangu.
"Bwana ni mwokozi wangu tena ni kiongozi wangu ananipenda leo kuliko jana......yesu nipende leo kuliko jana

"Na maadui zangu ninawaombea maisha marefu....

"Ujue binadamu ni watu wa ajabu saana


African

African star

Extravagancy humo kile kiswahil chao chakikenya kinanifurahisha saaana.

"Wakaita polisi kumbe polisi ni shabiki...

" wakaficha msosi wakatupata na dishi mezani...

"walifunga milango wakatupata ndani.

Hapana rusha mawe kwa police station....

Melanin.......mwamba wa africa petoranking aliuwa saana flow zake.

Suzana....

'' mwanamke tabia shep ni majaliwa...ila wengi walinyimwa tabia na shep kabarikiwa......

""Mwanaume hisia na pesa ni majaliwa ila wengi aalinyimwa hisia na pesa kabarikiwa

Screenshot_2020-04-10-04-23-53.jpeg
Screenshot_2020-04-10-04-23-39.jpeg
Screenshot_2020-04-10-04-22-41.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom