Sauti Sol wa Kenya ni hatari

Weka picha ya huyo jamaa mrefu mkuu..

Hilo kundi ndo linaakisi maana halisi ya wanamuziki
Hawa jamaa wakuitwa Sauti Sol ni hatari. Nasikiliza hii ngoma wakiwa na BurnaBoy inaitwa Afrikan Star ni hatari. Good Melody,Lyrics,Beats Etc.[emoji91][emoji91]

Nakuja kugundua huyu jamaa mrefu ni zaidi kwa kundi lao jamaa hatari..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…