Sauti imenijia na kuniambia nimuombee msamaha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,645
Muda mfupi uliopita nikiwa nakula chakula cha mchana nikasikia sauti moyoni nije JF kumuombea msamaha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.

Najua vyombo vya habari havitoi taarifa za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Leo mimi kiumbe dhaifu nakuja kwenu wana habari wote na vyombo vya habari mumsamehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, mtengue zuio la kutotangaza habari zake, kwa heshima na adabu nawaomba mumsamehe Mkuu wa mkoa wa DSM inatosha inatosha inatosha, naombeni kaeni chini mumsamehe Mkuu wa mkoa;

1:Leo anashindwa kutoa amasa kwa Wana DSM
2:Anataka kuendelea kufikisha ujembe kwa Wana DSM
3:Anataka kuhamasisha vijana wa DSM
4:Anataka kuongea na Wana DSM

Lakini sauti aito sambaa kama zamani, wananchi awatosikia kama zamani nawaomba mumsamehe inatosha inatosha. Mungu anatufundisha upendo, Mungu anatufundisha msamaha. Wote sisi tunahitaji huruma ya Mungu, je kama sisi atuhurumiae je tunastahili kuhurumiwa, kama sisi atusameane je tunastahili kusamehewa?
 
Muda mfupi uliopita nikiwa nakula chakula cha mchana nikasikia sauti moyoni nije jf kumuombea msamaha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam
Najua vyombo vya habari havi toi taarifa za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,Leo Mimi kiumbe Dhaifu nakuja kwenu wana habari wote na vyombo vya habari mumsamehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,mutengue zuio la kuto tangaza habari zake,Kwa heshima na adabu nawaomba mumsamehe Mkuu wa mkoa wa DSM inatosha inatosha inatosha naombeni kaeni chini mumsamehe Mkuu wa mkoa
1:Leo anashindwa kutoa amasa kwa Wana DSM
2:Anataka kuendelea kufikisha ujembe kwa Wana DSM
3:Anataka kuhamasisha vijana wa DSM
4:Anataka kuongea na Wana DSM
Lakini sauti aito sambaa kama zamani,wananchi awatosikia kama zamani
Nawaomba mumsamehe inatosha inatosha
Mungu anatufundisha upendo,Mungu anatufunfisha msamaha
Wote sisi tunaitaji Huruma ya Mungu, je kama sisi atuhurumiane je tunastahili kuhurumiwa,kama sisi atusameane je tunastahili kusamehewa
Msamaha gani katika vita dhidi ya 'unga'!? Sauti iliyokujia ni ya shetani,bila shaka yeyote !
 
Muda mfupi uliopita nikiwa nakula chakula cha mchana nikasikia sauti moyoni nije jf kumuombea msamaha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam
Najua vyombo vya habari havi toi taarifa za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,Leo Mimi kiumbe Dhaifu nakuja kwenu wana habari wote na vyombo vya habari mumsamehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,mutengue zuio la kuto tangaza habari zake,Kwa heshima na adabu nawaomba mumsamehe Mkuu wa mkoa wa DSM inatosha inatosha inatosha naombeni kaeni chini mumsamehe Mkuu wa mkoa
1:Leo anashindwa kutoa amasa kwa Wana DSM
2:Anataka kuendelea kufikisha ujembe kwa Wana DSM
3:Anataka kuhamasisha vijana wa DSM
4:Anataka kuongea na Wana DSM
Lakini sauti aito sambaa kama zamani,wananchi awatosikia kama zamani
Nawaomba mumsamehe inatosha inatosha
Mungu anatufundisha upendo,Mungu anatufunfisha msamaha
Wote sisi tunaitaji Huruma ya Mungu, je kama sisi atuhurumiane je tunastahili kuhurumiwa,kama sisi atusameane je tunastahili kusamehewa
itakua sauti imetoka kuzimu badala ya mbinguni mkuu, ikatae na uikemee
 
Kawaombee msamaha waliofukuzwa kazi wakiwa wamebakiza miezi michache kustaafu...hao wamenyimwa jasho lao la miaka zaidi ya 25..

Bashite mwambie arudi SA kwa nabii Bashiri wakapange ile mipango ya mauaji
 
Apate msamaha wa hivi hivi tu bila yeye kuomba msamaha?
Akawaombe msamaha kwa Warioba kwanza, kisha awaombe wengine woote na zaidi akapige magoti clouds kwenye kipindi cha breakfast na shilawadu, then wale alioawataja wauza ngada angali ushahidi hakuwa nao, akimaliza arudi kwenye vyeti atuambie kwa nini alibadili majina kutoka bashite to makonda!
Aombe msamaha aachie ngazi halafu arudi darasani akapige pepa ya form four...
 
Tafakari ni sauti gani hiyo,je uliithibitisha kwa maandiko kwamba ni Mungu?kumbuka shetani nae anayo sauti ya maigizo pia ya mini inafanana na ya Mungu.muombe Mungu akufunulie kwa kina zaidi uitambue hiyo sauti
 
Inawezekana vip kumsamehe asiye hitaji msamaha,huko hakutakuwa ni kumsamehe,bali ni kumuogopa huko kama anataka msamaha kamshauri yeye aje kutuomba msamaha sio utushauri tumsamehe
ATA YUDA ASKARIOT ALIKUWA NA NAFASI YA KUOMBA MSAMAHA ILA AKUFANYA HIVYO NA AMEVUNA ALICHO PANDA,JAPO ALIFANIKISHA TUKIO LILILOLETA UKOMBOZI DUNIAN
 
Muda mfupi uliopita nikiwa nakula chakula cha mchana nikasikia sauti moyoni nije JF kumuombea msamaha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.

Najua vyombo vya habari havitoi taarifa za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Leo mimi kiumbe dhaifu nakuja kwenu wana habari wote na vyombo vya habari mumsamehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, mtengue zuio la kutotangaza habari zake, kwa heshima na adabu nawaomba mumsamehe Mkuu wa mkoa wa DSM inatosha inatosha inatosha, naombeni kaeni chini mumsamehe Mkuu wa mkoa;

1:Leo anashindwa kutoa amasa kwa Wana DSM
2:Anataka kuendelea kufikisha ujembe kwa Wana DSM
3:Anataka kuhamasisha vijana wa DSM
4:Anataka kuongea na Wana DSM

Lakini sauti aito sambaa kama zamani, wananchi awatosikia kama zamani nawaomba mumsamehe inatosha inatosha. Mungu anatufundisha upendo, Mungu anatufundisha msamaha. Wote sisi tunahitaji huruma ya Mungu, je kama sisi atuhurumiae je tunastahili kuhurumiwa, kama sisi atusameane je tunastahili kusamehewa?
Huu uzi ulivokakaa yan minaushangaa sana.... Nazan huna hofu na kyalaa
 
Muda mfupi uliopita nikiwa nakula chakula cha mchana nikasikia sauti moyoni nije JF kumuombea msamaha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.

Najua vyombo vya habari havitoi taarifa za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Leo mimi kiumbe dhaifu nakuja kwenu wana habari wote na vyombo vya habari mumsamehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, mtengue zuio la kutotangaza habari zake, kwa heshima na adabu nawaomba mumsamehe Mkuu wa mkoa wa DSM inatosha inatosha inatosha, naombeni kaeni chini mumsamehe Mkuu wa mkoa;

1:Leo anashindwa kutoa amasa kwa Wana DSM
2:Anataka kuendelea kufikisha ujembe kwa Wana DSM
3:Anataka kuhamasisha vijana wa DSM
4:Anataka kuongea na Wana DSM

Lakini sauti aito sambaa kama zamani, wananchi awatosikia kama zamani nawaomba mumsamehe inatosha inatosha. Mungu anatufundisha upendo, Mungu anatufundisha msamaha. Wote sisi tunahitaji huruma ya Mungu, je kama sisi atuhurumiae je tunastahili kuhurumiwa, kama sisi atusameane je tunastahili kusamehewa?
Kwani huto tuvyombo binafsi hata tukiacha kutangaza huo umbea wao Rc Makonda anaathirika nini? Mbona hata sisi huku Geita , Mza, Mara, Singida,Kagera n.k tunapata taarifa za Makonda kupitia TBC TV na Redio? Tena taarifa za uhakika. Huto tuvyombo twenye wandishi makanjanja na wandishi wa Udaku wao waendelee tu na wasithubutu kabisa kuandika jina la Makonda. Wakome.
 
Back
Top Bottom