Quarreling wit a bastard guy is biggest fear....! UDSM nimemaliza pale 2008 LL.B. Nilijuta kusoma chuo icho, vyoo vimejaa vinyesi hadi kwenye coridor!. Niliombwa nifundishe hapo nikapiga chini. Niko SAUT napiga kazi na kusoma pia. Ukitaka kunijua vizuri, ulizia wanafunzi wa miaka ya 1998-2001 GALANOS na 2002-2004 MZUMBE. 'SOKORO' ilikua chata yangu.