jamaa: Hello mrembo ,samahan una mpenzi?
Binti: Hapana sina mpenzi
jamaa: Mwanzo 2:18 bwana mungu akasema ,si vema huyu mtu awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae
binti: Lakini mimi sikupendi
jamaa: Waraka wa kwanza wa yohana 4:8 yeye asiyependa hakumjua mungu, kwa maana mungu ni upendo
binti: Mh, mm nitajuaje kama we mwaminifu
jamaa: Injili ya marko 13:31 mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe
binti: Wewe kwanini umekuja kwangu? Wasichana wengine hujawaona?
Jamaa: Mithali 31:29 binti za watu wengi wamefanya mema lakn wewe umewapita wote! Chezea mpendwa kwa vifungu wewe!