Saudia yazuia Wairani kwenda Meka kuhiji kwa mwaka huu!

Status
Not open for further replies.

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817

DWN-Mekka-600x361.jpg

Kwa mwaka huu 2016 hakuna ruhusa kwa raia woote wa nchi ya Irani kwenda kuhiji Meka, uamuzi huwo umetolewa na "mwenye Mekka" Ufalme wa Saudia!

Siku zote nilifikiri kwamba Mekka ni haki ya kila Muislamu kumbe ni mali ya Ufalme wa Saudia na yeye (Saudia) ndiyo anaamua nani aende Mekka kuhiji na nani asiende! Duh! kweli hizi dini bhana saa nyingine zinachaganya sana!

Sasa hayo maamuzi ya Saudia ndiyo maamuzi ya Mungu? Yaani Ufalme wa Saudia unamuwakilisha Mungu?
 
Eti na bado. Watu kila siku wanajichanga kwenda uko. Dini zetu jamani hazitufikishi kokote, kama huombi rehema kwa Mungu kila siku na kufanya yaliyo haki machoni pake. Ata ukienda Makkaa mara 100 kwa mwaka. Hutoionja nchi ya ahadi.. Acheni kupoteza pesa na wakati ndugu zangu.
 

DWN-Mekka-600x361.jpg

Kwa mwaka huu 2016 hakuna ruhusa kwa raia woote wa nchi ya Irani kwenda kuhiji Meka, uamuzi huwo umetolewa na mwenye Mekka Saudia!

Siku zote nilifikiri kwamba Mekka ni haki ya kila Muislamu kumbe ni mali ya Saudia na yeye (Saudia) ndiyo anaamua nani aende Mekka kuhiji na nani asiende! Duh! kweli hizi dini bhana saa nyingine zinachaganya sana!

Sasa hayo maamuzi ya Saudia ndiyo maamuzi ya Mungu? Yaani Ufalme wa Saudia unamuwakilisha Mungu?
Source please
 
Hawa Saudia wanapiga sana hela ndefu! Kwanini ku hijj isiwe mzunguko kila nchi mwaka huu iwe zamu ya Marekani waende kuhijj Marekani au Somalia kwanini iwe saudia tu! Hicho ndicho wanacho kitengemea kwa kama chanzo cha kuingizia nchi mapato ya kuendeshea nchi! Hizi dini kweli ni kiboko
 
Hawa Saudia wanapiga sana hela ndefu! Kwanini ku hijj isiwe mzunguko kila nchi mwaka huu iwe zamu ya Marekani waende kuhijj Marekani au Somalia kwanini iwe saudia tu! Hicho ndicho wanacho kitengemea kwa kama chanzo cha kuingizia nchi mapato ya kuendeshea nchi! Hizi dini kweli ni kiboko
chanzo cha hija kinaenda mbali hadi enzi za ishmail na hajir mama yake, mke mdogo wa Ibrahim.
na matukio yote na maelezo yote ikiwepo kisima cha zamzam na jiwe lililobadilika rangi kuwa jeusi kutoka jeupe zaidi ya maziwa inaaminika ni hapo hapo. na walianza kwenda kuhiji hapo miaka mingi iliyopita . Haiwezekani waende kuhiji sehemu nyingine mkuu. Ila hawa jamaa (saudia/iran) sielewi kwa nini wanaleta siasa na kutofautiana kwao kwenye mambo yao ya imani.
 
Hawa Saudia wanapiga sana hela ndefu! Kwanini ku hijj isiwe mzunguko kila nchi mwaka huu iwe zamu ya Marekani waende kuhijj Marekani au Somalia kwanini iwe saudia tu! Hicho ndicho wanacho kitengemea kwa kama chanzo cha kuingizia nchi mapato ya kuendeshea nchi! Hizi dini kweli ni kiboko
nadhani hapo ni suala la kiimani zaidi. pamoja na kwamba wanapiga hela za kutosha kwa sababu ya Hija, pesa nyingi wanazipata kwenye mafuta. vinavyofuatwa huko kwa kuhij havipo nchi zote.
 
tuwe na staha na uvumilivu, tusitukanane wala kukashifiana bali tuvumiliane. tuache matusi. na mmoja akianza kejeli au tusi sidhani kama ni busara kumjibu kwa kejeli au tusi. unawezaje kuiona au kuitetea dini yako kwa kejeli au tusi kwa mwingine?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom