Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,948
Aina mpya ya COVID-19?!
Yes, a new strain of Covid 19 has emerged in three countries including SA.
Aina mpya ya COVID-19?!
Kama huyo baba alikuja kuomba unga kwenu sawa.Baba akiwa na maisha magumu hana kazi basi inawathiri hadi familia yake.
Haya sasa anti west pro russia wavaa vipedo mmeshavamia uzi.Kama ni mchina mbona benefits ama hasara zinaonekana zaidi nchi za magharibi?
Nawewe ni anti nani tuanzie hapoHaya sasa anti west pro russia wavaa vipedo mmeshavamia uzi
Mimi anti bioticNawewe ni anti nani tuanzie hapo
Sio lazima mtu aje kuomba ndio ujue ana matatizo.Kama huyo baba alikuja kuomba unga kwenu sawa
Ukiwa na hallucinations unaweza ukawa na perspective kama hiyoSio lazima mtu aje kuomba ndio ujue ana matatizo.
Virus la mutate huko England. Nchi nyingi zimezuia kuingia kwa watu kutoka England.
Ugonjwa Ni biashara ..hao watu maarufu wote wanaotangazwa kuwa wanahuo ugonjwa huwa ni bias tu ili wapate kuupa kick huo ugonjwa uweze kujulikana zaidi na kuendelea kuwatia hofu watuHii gonjwa ni man made project maana wameoona mishem yao ya kwanza haijatimia.
Watu wengi maarufu kama wacheza mpira,golf maderea wa magari ya mashindano, wanasiasa wanaugua na kupona kawaida tuu na wanarudi kwenye maisha ya kawaida. Huku maelfu ya watu wakifa kwa ugonjwa huo huo.
Sasa tunaambiwa kuna ugonjwa mpya wa covid 19 (covid 20) umeibuka na umeibukia uingereza wakati wa mwanzo uliibukia China.
Chanjo yake bado ina figisu,kuna nchi wamekataa kuitumia na pia kuna habari kua wanasiasa maarufu wanaopatiwa sio yenyewe ni geresha tuu ili wananchi waikubali.
Huu ugonjwa Ni made in China ..mbona pia USA inaonekana kuwa Ina mkono wake ?Trump aliugua,rais wa dunia,,yaani ni tabu,,,,mchina sio mtu asee...
Tutaamini vipi kama hii document haijatengenezwa mwaka huu?Jisomerni wenyeweView attachment 1657136
Mnamuamini tu mungu 😁😁😁Lengo lao ni kuuza hiyo chanjo, Mungu yupo hata acha hili lituathiri
Nachongangaa mpaka wananchi hawna imani kabisa na hiyo chanjo, na viongozi wanaopatiwa wanapatiwa kama propaganda hivi ili kuuaminisha dunia kua ni salama.Kwahiyo
Huu ugonjwa Ni made in China ..mbona pia USA inaonekana kuwa Ina mkono wake ?
Nachongangaa mpaka wananchi hawna imani kabisa na hiyo chanjo, na viongozi wanaopatiwa wanapatiwa kama propaganda hivi ili kuuaminisha dunia kua ni salama.
Raia wanaona bora kuendelea kufa kuliko kupewa chanjo

raia wa USA siwanawajua viongozi wao kuwa ni mashetani Hawa kawii kuwa ingiza mkenge ili mradi tu wapate maslahi Niliivyosikia,ila mimi sikuwepo kushuhudia,🤗🤗,US waliupandikiza china,,kisha wakaanza kuwacheka,,wachina wakapeleka US watu wenye corona lakini hawana dalili,,mission yao ilikuwa ni kukohoa na kupiga chafya za kutosha huko mitaa ya US,kisha wakasepa...Kwahiyo
Huu ugonjwa Ni made in China ..mbona pia USA inaonekana kuwa Ina mkono wake ?
Kwahiyo mie naweza kufikiri wewe ni binaadamu kumbe wewe ni mbuzi tu,ni hallucinations ndio hunifanya nidhani kuwa wewe ni binaadamu?Ukiwa na hallucinations unaweza ukawa na perspective kama hiyo
Hata kufikiri kwako kua unaye jadiliana naye kwenye platfom kama hii mtandaoni ni binadamu tu nako kunatilia mashaka akili yakoKwahiyo mie naweza kufikiri wewe ni binaadamu kumbe wewe ni mbuzi tu,ni hallucinations ndio hunifanya nidhani kuwa wewe ni binaadamu?
Ni kweli naweza kuwa najadiliana na sokwe au hata mbwa mweusi.Hata kufikiri kwako kua unaye jadiliana naye kwenye platfom kama hii mtandaoni ni binadamu tu nako kunatilia mashaka akili yako
Unajuaje kwamba unayejadiliana naye ni mtu na siyo robot tu?
😁😁😁 Both team scoreNiliivyosikia,ila mimi sikuwepo kushuhudia,🤗🤗,US waliupandikiza china,,kisha wakaanza kuwacheka,,wachina wakapeleka US watu wenye corona lakini hawana dalili,,mission yao ilikuwa ni kukohoa na kupiga chafya za kutosha huko mitaa ya US,kisha wakasepa...