hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,629
- 74,037
😁😁Ni kweli naweza kuwa najadiliana na sokwe au hata mbwa mweusi.
😁😁Ni kweli naweza kuwa najadiliana na sokwe au hata mbwa mweusi.
Yote yanawezekana kwa imagination zako kupitia hallucinations zilizomo kichwani mwakoNi kweli naweza kuwa najadiliana na sokwe au hata mbwa mweusi.
Yani mbwa mweusi awe na mtoto binaadamu?Yote yanawezekana kwa imagination zako kupitia hallucinations zilizomo kichwani mwako
Kwa hallucination hizo zinavyokupelekesha unaweza ukaja kubaini kua unajadiliana na baba yako
Hapo ndio itakubidi umuulize mamako vizuri kama una mashaka alitoka nje ya ndoaYani mbwa mweusi awe na mtoto binaadamu?
Hapa kuna suala la mbwa na binaadamu.Hapo ndio itakubidi umuulize mamako vizuri kama una mashaka alitoka nje ya ndoa
lakini saudi anajiweza sio sisi tunaotegemea utaliiDesemba 20 hadi Desemba 27 hakutakuwa na ndege, meli au gari linalotoka kwenye maeneo yenye aina mpya ya #COVID19 litakaloingia Saudi Arabia.
Safari zote za ndege zimefutwa na mipaka imefungwa kwa nchi zote isipokuwa zile nchi ambazo hazijaonesha kuwa na aina mpya ya #COVID19.
Ndege zilizoko Saudia zitaruhusiwa kuondoka. Zuio hilo linakuja baada ya nchi nyingine kuweka zuio hilo baada ya COVID19 mpya kugundulika kwa mara ya kwanza kusini mashariki mwa Uingereza.
Shughuli za ndani zinaruhusiwa kwa kuzingatia miongozo ya afya kama kutumia vitakasa mikono, pia mikusanyika imeamriwa kutozidi watu 50.
Corona ilipoanzia China na Iran, tukaambiwa US sio mchezo
Walitoa tamko rasmi ama ni watu tu mmoja mmoja akiamua kusema lake anasema tu ?hii inaweza kasirisha ma preachers na manabii wetu waliotuambia wameoteshwa na mungu kua corona ni curse kutoka kwa mungu
hawa majamaa walitulisha conspiracy nyingi sana walifikia hatua ya kuishutumu china kua imelaaniwa na mungu kutokana na ulaji wa popo pamoja na kuchana misaafu ya kiislamu now how?
View attachment 1656191
Unajuaje kwamba we ni binadamu na sio mbwa tu unayepelekeshwa na hallucination zinakufanya usahau asili yako?Yani tatizo ni kwamba Mbwa hawezi kumzaa binaadamu na binaadamu hawezi kumzaa mbwa.
Tamko la kufunga mipaka watu wasiende kuhiji kwa hofu ya corona?Walitoa tamko rasmi ama ni watu tu mmoja mmoja akiamua kusema lake anasema tu ?
huja elewa au kiburii😅😅😅Aina mpya ya COVID-19?!
Kwa hiyo kufunga kwao mipaka inathibitisha kuwa wao walisema kwamba china imelaaniwa kwa kula popo ?Tamko la kufunga mipaka watu wasiende kuhiji kwa hofu ya corona?
Wewe ni member wa NWO?Jisomerni wenyeweView attachment 1657136
Wapi nimesema hivyo?Kwa hiyo kufunga kwao mipaka inathibitisha kuwa wao walisema kwamba china imelaaniwa kwa kula popo ?
Kwani wapi nimesema kuwa umesema hivyo ?Wapi nimesema hivyo?
hawa majamaa walitulisha conspiracy nyingi sana walifikia hatua ya kuishutumu china kua imelaaniwa na mungu kutokana na ulaji wa popo pamoja na kuchana misaafu ya kiislamu now how?
nilikusudia kama nilivyo andikaKwani wapi nimesema kuwa umesema hivyo ?
Wewe mwanzo uliposema hivi ulikusudia nini 👇👇👇
Basi kama hakuna uliyemtuhumu juu ya uliyoyaandika hayo maneno yanabaki kuwa ni matamanio yako ya nafsi yasiyokuwa na maana yeyotenilikusudia kama nilivyo andika
Matamanio gani?Basi kama hakuna uliyemtuhumu juu ya uliyoyaandika hayo maneno yanabaki kuwa ni matamanio yako ya nafsi yasiyokuwa na maana yeyote
Nimekusudia kama nilivyoandika mkuu.Matamanio gani?