Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,132
- 34,104
Kwani Saudia sio nchi ya Kiislamu?
Haitumii sharia kuongoza nchi yao!
Inakuwaje inapingana na qurani?
Hakuna wafia dini kuhoji ujinga huu?
Najaribu kuwaza ikija bongo tutapona?
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inashangaza.
Mbona Mtume wao, Muhammad (S.A.W) alimuoa mtoto Aisha wa miaka 9?
Sent using Jamii Forums mobile app