Saudi Arabia: Nani anayeweza kuamini hili?

Saudi Arabia: Nani anayeweza kuamini hili?

Ni jambo la kusikitisha kwa nchi tajiri kama Saudi Arabia kuwa na omba omba. Lakini huo ni ikweli wa maisha. Kwenye falme ambayo mfalme anatawala bila ya kufahamu umma wake ndiyo mambo kama haya hutokea. Mapesa yote wanayo chuma ya mafuta hugawana wanandugu na kuweka kwenye mabank ya ulaya na umarekani. Sababu za kidini hawawezi kuchukuwa riba. Kwa hiyo basi riba zote za akaunti zao zinawatajirisha wamajuu. Usione kuwa uchumi wa manchi hayo unatetereka hivi sasa ni sababu hayapati tena intterest sababu haya maarabu yamehamisha ma akaunti yao India, China na Malaysia. Hawapati tena zile riba za che na uchumi wao ualegalega hivi sasa. Tujihadhari sana na majitu haya ya ulaya na wamarekani yasije kutuingillia sisi. Na hali ya omba omba Saudia imeanza kuimprove ingawaje hali bado hairidhishi. Wasaudia wanaogopa saaaana kuingiliwa na kunyanganywa nchi na waweza wakapewa wengine ambao ni rafiki ya wamarekani na bara la ulaya.
 
7tirre.bmp

Utafikiri utumwani
 
mi niliyepost thread nashukuru kwa michango yenu..mmenipa ufahamu na changamoto ya ufuatiliaji wa habari. Ahsante.
 
7tirre.bmp


Utafikiri utumwani

Hao unaowaona hapo juu ni mahujaji wakiwa katika mapumziko.Angalia kwa nyuma kule magari yanayokwenda na kurudi.
Hapo chini ni mahujaji wakiswali katika nyumba tukufu ya Allah.Kama hizo picha za vyoo vichafu ni kweli basi tungekuwa na mikasa mingi ya kipindupindu lakini ukisikia vifo Saudia mara nyingi ni msongamano wa mahujaji wenye shauku ya kutekeleza ibada zao.Niambie jee mayahudi munaweza kukusanya wenzenu kama hivi.
81212_1.jpg
 
Hizi sio tuhuma za leo ni siku nyingi sana, nakumbuka Marehem Mfalme Fahd alijibu: "Ikiwa kuna maskini wa kuomba omba Msaudi, basi huyo itakuwa si mzima au ni mvivu kupita kiasi".

Nakubali maneno yake kwani Wasaudi wote, nyumba bure, kusoma bure na kama huna uwezo wa kula unakwenda jiandikisha "Bait l'mal" na unapewa mshahara kila mwezi.

Wengi wa wanaoomba Saudia wanakuwa si Wasaudi.

Wacha utumwa mamboleo


Poverty Hides Amid Saudi Arabia's Oil Wealth

by Soraya Sarhaddi NelsonMay 19, 2011



2834367653.



As an oil exporter, Saudi Arabia is one of the richest countries in the world. And with an economy that is continuing to grow, its reputation among many people in the Arab world is that of a nation of extravagance and, sometimes, excess.


But when you look beyond the luxury SUVs, upscale malls and glittery high rises in the desert kingdom, a far different view of Saudi life emerges - one laced with poverty and unemployment, affecting millions of people. It's a problem many Saudis are reluctant to acknowledge.In the old section of Riyadh, the capital, Um Fahad pours roasted pumpkin seeds into a plastic shopping bag for a customer. She is one of about a dozen black-veiled women tucked away in tiny stalls at the end of a shopping arcade. Besides the seeds, Um Fahad sells cheap jewelry, embroidered shirts and small woven baskets.


She says she and the others struggle to keep their meager businesses and families afloat."Everything is getting harder. Prices are rising, like for these seeds," she says. "Business was better before. But it's not like I can stop working."

Women At Risk
Um Fahad says on a great day, she sells about $40 worth of merchandise. She says more common are the days when she sells nothing at all.The widowed mother of 11 says all of what she earns goes to feeding her family and to the rent for her stall and for her home. She also gets a few hundred dollars in charity once in a while from family and friends.But with her landlord planning to raise her house rent by about $100 a month, Um Fahad says she fears she will end up on the street.Her story is hardly unique in Saudi Arabia. Activists and analysts here say the widow is part of a growing class of impoverished Saudis who don't benefit from the country's vast oil and business wealth.They say females are especially at risk in this strictly segregated society, which prefers to limit a woman's role to stay-at-home wife and mother.


Columnist Asmaa Al-Mohamed says being widowed or divorced can land even the richest Saudi women in poverty. With no skills and oftentimes no education, what money these women may have in the bank is soon gone.She adds that Saudi women who seek job training or to start their own businesses also face obstacles because of societal prejudices. That, despite a multitude of government-sponsored programs aimed at the needy.

‘Denying The Problem'
It's not just women who face hurdles. Some experts here say privately that all poor Saudis suffer because the government and society are reluctant to acknowledge poverty in the kingdom.The government does not routinely issue poverty figures, so it's hard to know how pervasive the problem is. The last figures, released more than three years ago, estimated there were nearly 670,000 poor families.Businessman Turki Faisal al Rasheed, who has written about Saudi poverty in articles and books, says that translates to about 3 million people, many of them from rural areas."Three million is a lot. So when we're talking about Saudis are 18 million, that's a big percentage of Saudis [who] are below the poverty line," he says.


King Abdullah in late February shone a rare spotlight on struggling Saudis by pledging $37 billion in handouts and loans. Many workers here saw their salary double for one month. He followed up with a pledge to build a half-million homes.
But Rasheed believes handouts don't offer a long-term solution to poverty in the kingdom.


"One of the problems is denying the problem - that it doesn't exist," Rasheed says. "The second thing is like, just give the money away and go sleep comfortably and not go through the procedure. Don't get me wrong, there are a lot of people who are doing a lot of work - very good work. But the problem is the need is much beyond what is being offered." Rasheed says the government and the private sector need to tackle Saudi poverty at its source -out in the countryside. His proposition: increase development aid and subsidize crops and small businesses in rural areas.
 
I understand this safari.. It seem to be a reliable source you are referring.
 

Maji ya zam zam kutoka kisima alichokichimba nabii Ismail kwa mguu wake ni dawa.Hutolewa bure kwa mahujaji na hayakauki.
Chini askari wa Saudia wakichukua mazoezi kabla msimu wa hija kuanza.
 
Guys poor are everywhere in this world.... US .Europe na Asia tutembeeni inategemea alieandaa alikua na maana gani kutuonyesha
 
Guys poor are everywhere in this world.... US .Europe na Asia tutembeeni inategemea alieandaa alikua na maana gani kutuonyesha
Kweli bana! Si mnawafahamu wale ombaomba watoto wa pale mataa ya ''fire'' kabla ya kona ya kulia kuingia Msimbazi Rd?na wale wa Posta mpya[siku hizi sijui kama wapo]. Basi nimewaona kwenye streets za London..! Tena wa kizungu wabishi! Wanakung'ang'ania hadi nguo yako wanakuvuta ukiwapuuzia! Bora uwaambie sina wajue moja! Tena kwao wa kike ndo wengi sana! Nilishangaa! Hadi TV yao wenyewe ya BBC imewahi kuonyesha kwa caption ya ''child beggars in Britain!''
 
Today I saw what is called,a Report: More than 60 Mil. Americans Are Unable to Buy Enough Food!! Source: Press TV, Iran.
 
Kwa wale wanaoenda kwa %age. Hiyo 60Mil people ya Wamarekani ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom