Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Mwili ni wake, maisha ni yake, ni mtu mzima mwenye kazi yake, sasa aamue kujimenya au kutojimenya hiyo inamhusu yeye na yeye pekee.
Wengine haituhusu hata kidogo.
Tujifunze kuwaacha watu waishi wapendavyo bila kuwahukumu.
siku hizi na wewe umeacha kuhukum watu cos kwa nijuavyo hako ndo katabia kako