Sattelite na Frequency mpya za ITV

Sattelite na Frequency mpya za ITV

kama nin kumbukumbu vizuri nilisikiwa wakitangaza
intelsat 906 64E

Frequency 3643.78.. hata ukiweka 3644 utaipata
FEC 2/3
Symborate 8545

Asante mkuu hata mimi nina hili tazizo ngoja tukaset tuone
 
Nafikiri unaweza kuona ili mradi tu kama unatumia satelite dish mimi natumia free 2 air. kwenye hiyo intelsat 906 64E niliweka frequency 3644 kwa sababu sikujua jinsi ya kuweka hizo point 78 na kuendelea hivyo nilikaribisha 3643 nikaweka 3644;

FEC 2/3
Symborate niliweka 8543 ingawa baadaye niliona kwenye matangazo yao ni 8545 ila kwa kuwa zilishika baada ya kubadilisha sikutaka kuhangaika zaidi. mimi pia bado ni mwanafunzi katika mambo haya.

CK,

Please soma PM yako on this!

Cheers!
 
Hii unaseti mpaka uwe na dish naona hapo juu umesema unataka free on air hiyo sijui
Nadhani hiyo free to air ni aina ya dish mana na langu ni eurostar but kwenye manual yake pameandikwa free to air. chanels naombeni msaada wenu wana jamii
 
Hii unaseti mpaka uwe na dish naona hapo juu umesema unataka free on air hiyo sijui

Mkuu yes nina Dish lakini silipii Channels, nakamata channel zilizo free hewani (hazilipiwi) eg. ITV,EATV,TBC,E, etc ambapo unakuwa na dish+ receiver....then fundis waliset first time...but baada ya kubadilisha hayo masafa channel za IPP hazionekani tena, inabidi kubadilisha setting upya.....how? ndo issue.....IT mazee haipandi sana!
 

Our new parameters are:
IS906@64 DEGREES
SATELLITE FREQUENCY: 3643.7825 MHZ
FEC: 2/3
SYMBOL RATE: 8.545MSps

 
Jamani wenye kujua jinsi ya kuset tunaomba mtusaidie maelekezo .
Kiongozi setting zinatofautiana kutegemea na aina ya receiver unayotumia,mfano mie natumia EUROSTAR,unabonyeza MENU from your remote,then through on screen display unakwenda Installation,then Transponder manager,ukiwa kwenye Transponder manager upata menu yenye frequncy,symbol rate ambapo utaedit!!
 
wajemeni mbona mie intel nnayoipata kwenye receiver yangu ni 907 na si 906. receiver yangu ni strong 4620 ii, haikubali!
 
Ni lini tv zetu zihamia kwenye digital kutoka kwenye analog

The agreed transition period to migrate from analogue to digital broadcast began
on 17 June, 2006 at 0001 hours UTC and will end 16 June, 2015 at 0001 hrs
UTC.

Ukitaka zaidi jisomee 'notes' nilizoambatanisha.
 

Attachments

Ndiyo mtu wangu, nasikia walitangaza b'4 kuwa watahamia kwenye Sattelite gn na Frequency zitakuwa zipi. Watusaidie hata contacts za ITV.
Yani nikipata namba ya simu itakuwa poa na nitazimwaga hapa.

Tatizo walipokuwa wanatangaza milikuwa mnapuuza!!! lakini sio mbaya, ndo ugonjwa wetu watanzania!!! hata mimi mara ya kwanza kwa Chanel 10 nilipuuza, nikakosa matangazo kwa muda wa kutosha tu!!! sasa, nilikuwa makini si kidogo!!! walipotangaza tu, sikuchelewa kuandika!!!! WABONGO TUACHE TABIA YA KUPUUZA ALERTS
 
Tatizo walipokuwa wanatangaza milikuwa mnapuuza!!! lakini sio mbaya, ndo ugonjwa wetu watanzania!!! hata mimi mara ya kwanza kwa Chanel 10 nilipuuza, nikakosa matangazo kwa muda wa kutosha tu!!! sasa, nilikuwa makini si kidogo!!! walipotangaza tu, sikuchelewa kuandika!!!! WABONGO TUACHE TABIA YA KUPUUZA ALERTS
Sio kwamba tulipuuza Mkuu. Mimi niliandika, tabu iko kwenye setting. IT haipandi. Nimebaki na frequency kwenye karatasi lakini sijui namna ya kuset.
Mkuu, siku hizi Wabongo tunajitahidi kuamka lakini ndo hivyo tunaishia kunukuu na kuanza kutembea na karatasi. Kazi kwl kwl.
 
Sio kwamba tulipuuza Mkuu. Mimi niliandika, tabu iko kwenye setting. IT haipandi. Nimebaki na frequency kwenye karatasi lakini sijui namna ya kuset.
Mkuu, siku hizi Wabongo tunajitahidi kuamka lakini ndo hivyo tunaishia kunukuu na kuanza kutembea na karatasi. Kazi kwl kwl.
Kweli, wengi tu maamuma kwenye haya mambo ya kiufundi
 
na sisi wenye sky hd tunaweza kuweko hizi frequencies? if so how?
 
wajemeni mbona mie intel nnayoipata kwenye receiver yangu ni 907 na si 906. receiver yangu ni strong 4620 ii, haikubali!
WANA JAMII bado nahitaji msaada wenu.sijafanikiwa kurekebisha hii kitu.sion hiyo satelite 906 naona 707 ku na 902 ku,nisaidieni jinsi ya kubadili hii satelite.
 
Sio kwamba tulipuuza Mkuu. Mimi niliandika, tabu iko kwenye setting. IT haipandi. Nimebaki na frequency kwenye karatasi lakini sijui namna ya kuset.
Mkuu, siku hizi Wabongo tunajitahidi kuamka lakini ndo hivyo tunaishia kunukuu na kuanza kutembea na karatasi. Kazi kwl kwl.

Kwkwikwiiii!! Pole maamuma, lakini nahisi unazani ukibonyeza bonyeza utaharibu!!! haya madudu hayajaumbwa delicate kihivyo, vinginevyo ingekuwa yameharibikia hukohuko!!! mie nilibonyeza bonyeza hadi ikakubali!!!
 
Kwkwikwiiii!! Pole maamuma, lakini nahisi unazani ukibonyeza bonyeza utaharibu!!! haya madudu hayajaumbwa delicate kihivyo, vinginevyo ingekuwa yameharibikia hukohuko!!! mie nilibonyeza bonyeza hadi ikakubali!!!

hahahaaaa u're right, hata mimi nilianza hivyo hivyo nachukua menu nasoma najaribu kuset, fundi akija namuuliza ukitaka kufanya hivi unafanyaje? akiwa fundi mzuri anakuelekeza ingawa mafundi wengine wanaona kuwa wakikuelekeza siku nyingine wanaweza kukosa soko. kwa kuwa utakuwa umejua hivyo utajifanyia mwenyewe. Basi utundu utundu wa kubonyezabonyeza siombaya nikajikuta nimejua kuwa hata game unacheza tena bila shida muda wako tu. lakini unatakiwa uwe mwangalifu ukienda vibaya unajikuta ume lock na ndo shuzi litakapokutoka kwa ninge ninge!!!
 

Our new parameters are:
IS906@64 DEGREES
SATELLITE FREQUENCY: 3643.7825 MHZ
FEC: 2/3
SYMBOL RATE: 8.545MSps

Mkuu thanks nimeeenda na mimi kurekebisha sasa mambo bam bam. Kama sio Jf hapo ningedhani kuna kitu kimeharibika! majirani sasa wakija itabidi niwacharge fees lol
 
Back
Top Bottom