📌Naomba uzi ufungwe.Hakuna nchi itamtoa mkimbizi wa kisiasa tena baada ya kunusurika jaribio la Mauaji. Hii wanajitekenya kucheka wenyewe.
Hivi jamaa yupo kenya?Sativa ni kichwa kingine kileee huwezi kumtishia Kwa kesi ya mchongo kama hiyo
Kenya ndiyo nchi salama Kwa watanzania, sio rahisi Kwa nchi ya Kenya kumtoa hadharani Sativa ili aje bongo
Ngumu sana hiiHaya mambo unaweza kuyafanya nchi yako ikiwa na sifa nzuri kimataifa, sidhani kama nchi yetu ina hali hiyo hivi sasa.
Mshtakiwa pia si alipigwa risasi na hadi leo waliomteka na kutaka kumuua hawajakamatwa? Na mshtakiwa anadai anawafahamu?
Nacheka kwa dharau😂😂
Besigye na wenzie 200 walikua kenyaSativa ni kichwa kingine kileee huwezi kumtishia Kwa kesi ya mchongo kama hiyo
Kenya ndiyo nchi salama Kwa watanzania, sio rahisi Kwa nchi ya Kenya kumtoa hadharani Sativa ili aje bongo
Majeraha na yapone,ila waliochochea kibano sharti kiwakuteYani Bado wanahangaika na wanaharakati wadogo badala ya kupiga kimya ili kuponya majeraha ya uovu wao. Mtafunga wangapi? No wonder watu wanashangilia vifo vyenu mifumo yote ya haki Iko compromised na wahuni nani anaamini tena mfumo wetu wa utowaji haki uliochini ya ccm ambao wenyewe ni wezi wa kura?


Mbona walishirikiana na mseveni kumteka Kiza Besije na kumrudisha uganda mpaka sasa yupo jera?Sativa ni kichwa kingine kileee huwezi kumtishia Kwa kesi ya mchongo kama hiyo
Kenya ndiyo nchi salama Kwa watanzania, sio rahisi Kwa nchi ya Kenya kumtoa hadharani Sativa ili aje bongo
Hawa mbwa kweli hawana aibu...waliomteka na kumtupa mbugani aah, wanadunda tu. Hivi kwa akili zao fupi wanafikiri wataongoza nchi kwa style hii mpaka lini