Satanic verses

Ndo kazi ya Fasihi Simulizi kuweka mazingira ya kufikirika.

Ila hizi kazi huleta tabu khasa kwa tawala zetu kama Tanzania kitabu cha "Animal Farm" kilipigwa marufuku enzi za Hayati mwalimu Nyerere.

Na hichi kitabu mwandishi wake George Orwell ameandika kuhusu mkulima mwenye shamba ambae aliwatelekeza wanyama hao ambao mwishoe wakaja na mgomo. Mwishoe wanyama hao wakafanya kikao kizito ambacho kilikuja na azimio la kuweka amri saba au "seven commandments", amri ya kwanza ikisema Wanyama wote ni sawa yaani "All animals are equal".

Fasihi Simulizi nyingi zikiwemo "Room 101", "Thought police" "Big brother" na vingine zilikuwa zikitoa elimu tosha ya kukufanay msomaji ufikwe na fikra pevu.

Ni hichi cha Big Brother ndicho kilichompatia umaarufu Orwell kwa kubashiri raia kuwa wanachunguzwa na kufuatiliwa kwa kutumia njia mbalimbali zikiwemo Kamera maarufu kwa jina la CCTV na akaita hio itakuwa ni Big Brother State.
 
Kwa utandawazi wa sasa naona wamempa kiki kubwa yeye na kitabu chake kita zagaa mtaani ,sita shangaa kukiona kinondoni meza ya magazeti,

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Je ni kwa nini sasa Ayatollah Khomeini alitengua FATWA na kumsamehe Rushdie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…