The Pen
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 755
- 261
Wakuu,
Hivi hizi "unlimited bundles" za Sasatel ni unlimited kwa maana halisi au kwa maana ya wao kukupa MB fulani, kisha zikiisha hizo, unaongezea nyingine kwa gharama ya ziada? Ninauliza hivyo kwa sababu baadhi ya makampuni wanatangazia the former wakati wanamaanisha the latter hapo juu.
Hivi hizi "unlimited bundles" za Sasatel ni unlimited kwa maana halisi au kwa maana ya wao kukupa MB fulani, kisha zikiisha hizo, unaongezea nyingine kwa gharama ya ziada? Ninauliza hivyo kwa sababu baadhi ya makampuni wanatangazia the former wakati wanamaanisha the latter hapo juu.