It is official kuwa Mr. Zitto Kabwe sasa ana nguvu sana katika duru za siasa nchini Tanzania (i am talking about a different kind of power). Taratibu naanza kuamini kuwa huyu bwana amekuwa - au soon atakuwa - taasisi (institution). Kwanini?
Kumbe huyu bwana alipotangaza kwenda Marekani Chama Cha Mapinduzi ambacho ni taasisi( Chama chote Tanzania bara na visiwani) kilishutka, kutetemeka na kuamua kufuatilia kila nyendo ya safari yake. Not only that wamefuatilia kila neno alilosema (labda na kila mtu aliyekutana nae na kama mama Maajar asingekuwa mwana mtandao angepata matatizo kwakukutana nae kama yaliyomtokea Balozi Nyaki alipompokea Mrema back in the 90's).
Hawakuhishia hapo taasisi hiyo ya Chama Cha Mapinduzi imekaa na kuyachambua maneno aliyoongea Zitto mstari kwa mstari na kuona maneno aliyoongea ni mazito na yanaki-demage chama na hivyo wakaona umuhimu wa kumjibu mstari kwa mstari. Na katika ripoti hiyo ya chama cha mapinduzi hawakuandika jina la Kiongozi wa CCM aliyetoa ripoti ya kumjibu Zitto kwakuwa (1) Walitaka ionekane ni taasisi nzima ya CCM iliyomjibu mtu mmoja Zitto Kabwe (2) Labda wengi wa viongozi wa CCM wanaogopa kuwa na personal beef na huyu KingKong Zitto Kabwe.
This guy Zitto is as strong as Kingkong Now!
Kumbe huyu bwana alipotangaza kwenda Marekani Chama Cha Mapinduzi ambacho ni taasisi( Chama chote Tanzania bara na visiwani) kilishutka, kutetemeka na kuamua kufuatilia kila nyendo ya safari yake. Not only that wamefuatilia kila neno alilosema (labda na kila mtu aliyekutana nae na kama mama Maajar asingekuwa mwana mtandao angepata matatizo kwakukutana nae kama yaliyomtokea Balozi Nyaki alipompokea Mrema back in the 90's).
Hawakuhishia hapo taasisi hiyo ya Chama Cha Mapinduzi imekaa na kuyachambua maneno aliyoongea Zitto mstari kwa mstari na kuona maneno aliyoongea ni mazito na yanaki-demage chama na hivyo wakaona umuhimu wa kumjibu mstari kwa mstari. Na katika ripoti hiyo ya chama cha mapinduzi hawakuandika jina la Kiongozi wa CCM aliyetoa ripoti ya kumjibu Zitto kwakuwa (1) Walitaka ionekane ni taasisi nzima ya CCM iliyomjibu mtu mmoja Zitto Kabwe (2) Labda wengi wa viongozi wa CCM wanaogopa kuwa na personal beef na huyu KingKong Zitto Kabwe.
This guy Zitto is as strong as Kingkong Now!