Sasa Watanzania tuseme CCM basi!

Sasa Watanzania tuseme CCM basi!

inawaweka ninyi wachumia matumbo!!!! dume zima lakini unaishi kwa kujipendekeza! utawolewa wewe!!!!

kuoana kwa ajili ya tumbo kuko CHADEMA, MBOWE na JOYCE MUKYA, SLAA na Mshumbuzi etc. Humu tunashindana kwa hoja tu.
 
wewe misuli yote hii inakutoka ya nini au wewe mdogo wake na JOYCE MUKYA nini (Shemejiiiiiii)

nina wasiwasi na ubongo wako! hisa yako ya akili lazima iwe below 47!!! rudi milembe ulikotoroka ukamalizie dozi!
 
kuoana kwa ajili ya tumbo kuko CHADEMA, MBOWE na JOYCE MUKYA, SLAA na Mshumbuzi etc. Humu tunashindana kwa hoja tu.

dume zima unajipendekeza kwa mijanaume!!! njoo hata kwangu nikufuge,naona njaa inakutesa sana!
 
nina wasiwasi na ubongo wako! hisa yako ya akili lazima iwe below 47!!! rudi milembe ulikotoroka ukamalizie dozi!

mbona unaingiza tena hoja za MIREMBE, au ndo imekuingia nini? sema kiongozi, kumtetea shemeji siyo kosa, kosa ni kutunisha misuli bisa sababu.
 
Acha bwembwe wewe, CCM ndo inakuweka mjini leo unataka kuikana.

Msukule mwingine huyu. Eti ccm inamuweka mjini, hovyo na mawzo ya kimburula, ushakufa subiri kufukiwa kaburini. Kama uko hivyo watoto wako watakuwa na hali gani. You are finished
 
hisa yako ya akili ipo below 47,rudi kamalizie dozi kwanza!
pamoja na kwamba umeishiwa hoja, lakini bado nitazidi kukunyoosha tu. wewe utakuwa ndo ulikuwa unamfanyia mambo mabaya LEMA ndiyo maana mada zako ni zinaegemea huko.
 
Msukule mwingine huyu. Eti ccm inamuweka mjini, hovyo na mawzo ya kimburula, ushakufa subiri kufukiwa kaburini. Kama uko hivyo watoto wako watakuwa na hali gani. You are finished

wewe samaki Mapezi yamekukauka rudi Majini. CHADEMA imekufanyia nini , mpaka utoke majini kuja kubwbwaja huku nchi kavu?
 
Msukule mwingine huyu. Eti ccm inamuweka mjini, hovyo na mawzo ya kimburula, ushakufa subiri kufukiwa kaburini. Kama uko hivyo watoto wako watakuwa na hali gani. You are finished

misukule iko CHADEMA.
 
Hakika maisha ya mtanzania yanaendelea kuwa magumu kila kukicha,viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza wamekuwa watu wa porojo nyingi na uongo juu,ushauri wangu kwa watanzania zaidi vijana wenzangu tufika hatua tuseme inatosha ccm kuongoza nchi hii,bora wakae uraiani chama kingine kichukue hatamu,tujadili kwa hoja sio matusi
]]

wengine tunawatuma bungeni , badala ya kututetea wanakwenda kupigana MABUSU DUBAI
 
wewe samaki Mapezi yamekukauka rudi Majini. CHADEMA imekufanyia nini , mpaka utoke majini kuja kubwbwaja huku nchi kavu?

Yani hata cdm wakileta za kuleta ntawachukia vilevile. Kiukweli ccm naichukia sana from in my heart tangu mwaka 1986 walipokuwa wanatulazimisha kutoka madarasani na kusimama kando ya barabara huku tukilazimishwa kuimba nyimbo za chama kisa waziri mkuu au raisi anapita kuelekea mji mwingine kwa ishu zake na hadi leo hakuna maendeleo yoyote. Mwaka jana mwezi wa 3 nilimpeleka mdogo wangu hosp ya MUHIMBILI (MOI) koz alivunjika mkono mifupa yote miwili, nilisota mwezi mzima nazungushwa, wodi chafu, wagonjwa wanalazwa chini, magodoro machafu, shuka chafu, sitamani kurudi tena Muhimbili. Ilinilazimu kutumia akili zangu za kuzaliwa ndo akafanyiwa operation sasa ivi mkono umepona. Watu wasio na uwezo wanaendelea kusota hadi leo huku CCM mnaimba chama chetu chamapinduzi chajenga nchi upuuuuz mtupu serikali gani inayofanya propaganda za maendeleo. upuuuuz mkubwa kushabikia ccm
 
Back
Top Bottom