Blandes
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 406
- 236
Hakika maisha ya mtanzania yanaendelea kuwa magumu kila kukicha,
Viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza wamekuwa watu wa porojo nyingi na uongo juu,ushauri wangu kwa Watanzania zaidi vijana wenzangu tufika hatua tuseme inatosha CCM kuongoza nchi hii.
Bora wakae uraiani chama kingine kichukue hatamu,
Tujadili kwa hoja sio matusi
Viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza wamekuwa watu wa porojo nyingi na uongo juu,ushauri wangu kwa Watanzania zaidi vijana wenzangu tufika hatua tuseme inatosha CCM kuongoza nchi hii.
Bora wakae uraiani chama kingine kichukue hatamu,
Tujadili kwa hoja sio matusi