kibella24
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 677
- 158
Ila kuna ukweli kuna demu mmoja nilimtakaga zamani 90's tukaenda guest moja chang'ombe akakataa katakata na pichu kaisha ivua kumbe bwana alinionea huruma akaninyima akasema labda msaada nikukamata mic nikasema poa nikapiga pull nikajisafisha nikasepa ehe baada ya 6month demu nikasikia kalazwa mara kavuta kuuliza ngoma!Dah nikasema kumbe ndomaana siku hiyo alikataa katkata!!Some time we should be .............!!
siunaona sasa? dem akikataa usimlazimishe, U NEVER KNOW!