Sasa unaingia Tarime

Sasa unaingia Tarime

Nduka

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2008
Posts
8,552
Reaction score
2,387
Ni kawaida kwa kila kitongoji, mji, wilaya au mkoa hapa Tanzania kukutana na kibao hiki KARIBU WILAYA YA...(weka jina mfano TABORA). Lakini hali ni tofauti sana unakwenda kule kwa makamanda na wakakamavu wa Tanzania A.K.A akina Mwita, unapofika kwenye mpaka wa unakutana na kibao kimeandikwa SASA UNAINGIA TARIME, kuonesha ukarimu wao wa kinyume.
 
Then ukiangalia pembeni utanakuta mtu ana panga,jembe au hata sime...ni part ya tool za kawaida kabisa kutembea nazo bila wasi wasi.Iwe kwenye mikutano kasoro kanisani anaaweza liacha kwenye baiskeli nje...
 
kudadadeki........ Wahaya hawapeleki mashauzi kule, wanawajiua fika kiboko yao
 
Nasikia na akili zinapimwa kwa wingi wa makovu, kama unayo mengi wewe ni genius.
 
Nasikia na akili zinapimwa kwa wingi wa makovu, kama unayo mengi wewe ni genius.

Hapana kama huna kovu unaweza kuhesabika wewe ni oyaa mean mgeni......uwezo na nguvu hupimwa kwa kupigana....kuwa na wanawake wangi...na kwenda jela mara kadhdaaaa.
 
Du kuna haja ya kupima ratio ya u TZ kwenye blood za hawa jamaa, nina uhakika sio wenzetu kabisa.
 
Back
Top Bottom