Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Dec 20, 2018 #2 Kabla hujahukumu huyo jamaa angalia ameshikwa na mwanamke wa aina gani.
Saguda47 JF-Expert Member May 1, 2016 10,766 18,620 Dec 20, 2018 #3 huyo dada wa mkoani wanagombana na mdogo wake wa kiume sio mwanaume huyo! Sawa waoga wa daslamaaaa!!?
huyo dada wa mkoani wanagombana na mdogo wake wa kiume sio mwanaume huyo! Sawa waoga wa daslamaaaa!!?
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 48,323 115,323 Dec 20, 2018 #5 Ikitokea wamepata kiboko yao wapigwe tu sababu walio wengi huwa ni waonevu.
M M345 JF-Expert Member Sep 21, 2018 452 181 Dec 20, 2018 #7 Mtu na mdgo ake kwel ,huyu mama sura ishaweka six pack ,jamaa mdgo hata uvaaji tu unaonesha ,
Justine_Dannie JF-Expert Member Dec 1, 2014 1,963 1,616 Dec 20, 2018 #9 Huyo ni mama na mwanae wanafundishana adabu, hakuna mwanaume hapo, ni mvulana na mama ake, Period
Diason David JF-Expert Member Aug 2, 2018 7,562 7,348 Dec 23, 2018 #10 Aisee angekuwa kuwa demu wangu ni mwendo wa jagombeeeee
Frank Wanjiru JF-Expert Member Apr 12, 2012 21,838 38,729 Dec 24, 2018 #11 Hii bila kukosea ni Iringa
wax JF-Expert Member Jun 14, 2015 5,530 5,060 Dec 24, 2018 #12 Chakubanga ananyooshwa hapo mwanaume wa dar huyo