Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,164
- 2,610
Wakubwa Habari za wakati huu.?
I hope mko poa,,Bas bhana leo kuna chaliangu alinipitia kumsindikiza kwa Manzi ake,Kwakua ni mwamba sikuona kwere yoyote so nikaamua kumsindikiza. Sasa ile tumefika manzi ambae ni demu wa mhuni akatukaribisha pale niaje nikapewa kiti na maji ya kunywa,ado ado nikawa nayagida uku naperuzi peruzi humu JF. Chalii na manzi wakaingia ndani,mala kama dakika5 ivi nikaskia wanazozana,Khaa..!!nikasema nini iki?Mala mwana si akatolewa kibati nje na manzi,manzi kawaka mbaya kawa ngiri alaf anahema kama bata uku akisema"Toka nje uondoke na huyu rafiki ako mwenye kichwa kama panzi Kima wewe!" Sasa mimi nimekosa nini hadi anikashifu vile?sijui kilimkuta nini mpaka akaongea maneno makali kama kakatwa kichwa!
@NgarenaroBoy.
I hope mko poa,,Bas bhana leo kuna chaliangu alinipitia kumsindikiza kwa Manzi ake,Kwakua ni mwamba sikuona kwere yoyote so nikaamua kumsindikiza. Sasa ile tumefika manzi ambae ni demu wa mhuni akatukaribisha pale niaje nikapewa kiti na maji ya kunywa,ado ado nikawa nayagida uku naperuzi peruzi humu JF. Chalii na manzi wakaingia ndani,mala kama dakika5 ivi nikaskia wanazozana,Khaa..!!nikasema nini iki?Mala mwana si akatolewa kibati nje na manzi,manzi kawaka mbaya kawa ngiri alaf anahema kama bata uku akisema"Toka nje uondoke na huyu rafiki ako mwenye kichwa kama panzi Kima wewe!" Sasa mimi nimekosa nini hadi anikashifu vile?sijui kilimkuta nini mpaka akaongea maneno makali kama kakatwa kichwa!
@NgarenaroBoy.