Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Habari wakuu
Shirikisho La mpira wa miguu baran afrika limethibitisha rasmi Tanzania itapeleka timu 4 katika mashindano ya vilabu Barani afrika shiriksho limesema mwisho wa kufanya usajir kwa vilabu hivyo n June 30 mwaka huu
Hivyo kwa Tanzania timu zitakazoshiriki klabu bingwa ni
Simba
Yanga
Timu zitakazoshiriki kombe LA shirikisho ni
Azam
Kmc
Rai yangu timu zikawakilishe vema wafanye usajili
Shirikisho La mpira wa miguu baran afrika limethibitisha rasmi Tanzania itapeleka timu 4 katika mashindano ya vilabu Barani afrika shiriksho limesema mwisho wa kufanya usajir kwa vilabu hivyo n June 30 mwaka huu
Hivyo kwa Tanzania timu zitakazoshiriki klabu bingwa ni
Simba
Yanga
Timu zitakazoshiriki kombe LA shirikisho ni
Azam
Kmc
Rai yangu timu zikawakilishe vema wafanye usajili