Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,771
- 24,202
Baada ya klabu ya Yanga kufika hatua ya fainali katika michuano ya kombe la shirikisho, ligi kuu Tanzania bara itapeleka timu nne(4)
katika misimu miwili mfululizo ambapo mbili ligi ya mabingwa na 2 kombe la shirikisho.
Makolo tumewasidia kubakia champions ligue......la sivyo CAF confederation ingewasubiri
#FutbalPlanetUpdates
katika misimu miwili mfululizo ambapo mbili ligi ya mabingwa na 2 kombe la shirikisho.
Makolo tumewasidia kubakia champions ligue......la sivyo CAF confederation ingewasubiri
#FutbalPlanetUpdates