FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
1995-2005-2008 ilikuwa ni agano takatifu, kiapo cha dhati, utimilifu thabiti wa kumpenda jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.............. Bwana yesu aliwapa amri mpya wanafunzi wake na makutano" nawapeni amri mpya, pendaneni kama mnavyojipenda ninyi , pendani" upendo ni amri ya mungu"
katika watu hawa wawili jakaya mrisho kikwete na edward ngoyai lowasa ni nani aliyempenda mwenziwe kama anavyojipenda yeye mwenyewe?
Nikiwa ni mwana ccm, shabiki wa siasa za kuvumiliana na kukosoana, ninawasihi jakaya mrisho kikwete na edward ngoyai lowasa kulirejea agano lao na kuipa Tanzania muelekeo sahihi, naamini kwa kutokufanya hivyo si Jakaya wala Edward atakayeweza kuwa na legacy ndani Tanzania, wasaa ni huu .............
Nakaribisha maoni yenu wana jf..........
Mungu ibariki tanzania
katika watu hawa wawili jakaya mrisho kikwete na edward ngoyai lowasa ni nani aliyempenda mwenziwe kama anavyojipenda yeye mwenyewe?
Nikiwa ni mwana ccm, shabiki wa siasa za kuvumiliana na kukosoana, ninawasihi jakaya mrisho kikwete na edward ngoyai lowasa kulirejea agano lao na kuipa Tanzania muelekeo sahihi, naamini kwa kutokufanya hivyo si Jakaya wala Edward atakayeweza kuwa na legacy ndani Tanzania, wasaa ni huu .............
Nakaribisha maoni yenu wana jf..........
Mungu ibariki tanzania