Sasa nina miaka 53 situmii tena kondomu

Malaika Mkuu

JF-Expert Member
Nov 5, 2014
902
909
Habari wanajukwaa,

Baada ya kuleta uzi jana kuhusu tabia ya mke wangu kuninyima tendo la ndoa, Leo nikiwa nimekaa na bosi wangu mpyaa nimepata mshituko baada ya bosi kuniambia haya...

"Mdogo wangu unajua mimi kwa sasa situmii kondomu"

Nikapigwa na butwaa nika muuliza why bosi?

Jibu alilonipa nilishangaa saana!

Mdogo wangu mimi nina miaka 53 nitumie kondomu ya nini nina miakA 53 sasa hata nikipata virusi vya ukimwi kwa sasa nina miaka 53 nitakaa miaka 10 ndio nianze kutumia Arv miaka 63 hiyoo

Nikianza tumia ARV miaka 63 nitatumia hata miaka 10 tena hapo miaka 73 nakufa sasa nitumie kondomu za nini wakati hata miaka hiyo 63 ni kudra za Allah.

Hivyo mi nikipata vibinti napiga peku tuu...kaa ninao mtakoma vijana...



Salaamu wakuu.....
 
Habari wanajukwaa baada ya kuleta uzi jana kuhusu tabia ya wife kuninyima tendo la ndoaa

Leo nikiwa nimekaa na bosi wangu mpyaa nimepata mshituko baada ya bosi kuniambia haya ..

"Mdogo wangu unajua mimi kwa sasa stumii kondomu "

Nikapigwa na butwaa nika muuliza why bosi ??

Jibu alilonipa nilishangaa saana!!!!

Mdogo wangu mimi nina miaka 53 nitumie kondomu ya nini nina miakA 53 sasa hata nikipata virusi vya ukimwi kwa sasa nina miaka 53 nitakaa miaka 10 ndio nianze kutumia Arv miaka 63 hiyoo

Nikianza tumia arv miaka 63 nitatumia hata miaka 10 tena hapo miaka 73 nakufa sasa nitumie kondomu za nini wakati hata miaka hiyo 63 ni kudra za allah

Hivyo mi nikipata vibinti napiga peku tuu...kaa ninao mtakoma vijana....



Salaamu wakuu.....
Mhuuuuuuuuu! Huku ni kudanganyana kwa kweli.
 
Habari wanajukwaa baada ya kuleta uzi jana kuhusu tabia ya wife kuninyima tendo la ndoaa

Leo nikiwa nimekaa na bosi wangu mpyaa nimepata mshituko baada ya bosi kuniambia haya ..

"Mdogo wangu unajua mimi kwa sasa stumii kondomu "

Nikapigwa na butwaa nika muuliza why bosi ??

Jibu alilonipa nilishangaa saana!!!!

Mdogo wangu mimi nina miaka 53 nitumie kondomu ya nini nina miakA 53 sasa hata nikipata virusi vya ukimwi kwa sasa nina miaka 53 nitakaa miaka 10 ndio nianze kutumia Arv miaka 63 hiyoo

Nikianza tumia arv miaka 63 nitatumia hata miaka 10 tena hapo miaka 73 nakufa sasa nitumie kondomu za nini wakati hata miaka hiyo 63 ni kudra za allah

Hivyo mi nikipata vibinti napiga peku tuu...kaa ninao mtakoma vijana....



Salaamu wakuu.....
Vipi wife kakupa
 
UKIMWI siyo ugonjwa kama jina lake. HIV ni kirusi bandia kwa maana hakijangunduliwa. Na hata kama ni cha kufikrika, kama kirusi hakina uwezo wa kuambukiza ugonjwa wowote kama vilivyo virusi vingine. Kwa kuwa UKIMWI si ugonjwa hauwezi kuambukiza au kuambukizwa. Dawa za UKIMWI (ATVs) zinavunja na kuharibu kinga za yule anayezitumia.

CHAMBUA CHUNGUZA FANYA MAAMUZI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom