dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,381
- 15,943
Kuna wakati Ally Hapi aliwajia juu hawa wazee kina Makamba kuwa watulie la si hivyo atawatwanga, wamuache JPM afanye kazi zake kwa utulivu
Aise nimeamini kuwa JPM aliwajua hawa wazee nje ndani ndio maana alikwenda mbali zaidi na kuwarekodi
Imagine mtu kama Mzee akamba anazungumza maneno ya shombo kiasi hicho 'mzee mtu mzima anasema watu wabaya ndio hufa tena mbele za wajane wengi tu waliokuwepo pale ukumbini, uchawa ni mbaya sana yale siyo maneno ya kuzungumza mtu wa miaka hiyo.
Makamba Sr na Jr wote ni walamba makalio
Laiti ningekuwa mimi Mama Janeth naondoka pale pale niwaachie chama lao wabaki na watu wasiokufa
Ally Hapi angekuwepo pale angewatwanga vibaya mno hao wazeee walamba asali
Aise nimeamini kuwa JPM aliwajua hawa wazee nje ndani ndio maana alikwenda mbali zaidi na kuwarekodi
Imagine mtu kama Mzee akamba anazungumza maneno ya shombo kiasi hicho 'mzee mtu mzima anasema watu wabaya ndio hufa tena mbele za wajane wengi tu waliokuwepo pale ukumbini, uchawa ni mbaya sana yale siyo maneno ya kuzungumza mtu wa miaka hiyo.
Makamba Sr na Jr wote ni walamba makalio
Laiti ningekuwa mimi Mama Janeth naondoka pale pale niwaachie chama lao wabaki na watu wasiokufa
Ally Hapi angekuwepo pale angewatwanga vibaya mno hao wazeee walamba asali