Iringa: RC Hapi awataka Yusuf Makamba, Kinana na Membe kunyamaza kwani muda wao wa utumishi umeisha

Egnecious

JF-Expert Member
Jul 8, 2015
875
960
RC HAPI AWASHUKIA KINANA, MAKAMBA, MEMBE

Asema muda wao wa utumishi umekwisha ni vema wanyamaze kumuacha Rais Magufuli afanye kazi.

“Shambulio dhidi ya Rais ni shambulio letu sote, ni shambulio la serikali nzima. Hivyo kama Mkuu wa Mkoa, kijana na mzalendo siwezi kukaa kimya. Tutamlinda Rais wetu kwa gharama yoyote”

”Yanayoendelea na kufanywa na wastaafu sisi kama vijana tunaowaheshimu sana tunasikitika na kushangaa.Imekuaje leo wamesahau mafundisho ambayo wamekua wanatufundisha miaka yote? Subira, uvumilivu, kutii mamlaka na kuheshimu utaratibu vimepotelea wapi??
Wana maslahi gani yaliyojificha??”

”Shambulio dhidi ya umoja na mshikamano wetu ni shambulio letu sote. Vijana tutajibu mapigo.”

”Wanataka kumuondoa Rais Magufuli kwenye shabaha yake kwa nchi. Wanataka kumpotezea dira aache kushughulika na shida za wananchi ashughulike na mambo ya hovyo. Hatuwezi kuruhusu hilo litokee.”

”Njama zao dhidi ya nchi yetu tunazijua. Wengine ubinafsi na kukosa Urais mwaka 2015 bado kunawatesa.”

”Hakuna mtu muongo nchi hii kama Bernard Membe. Akiwa waziri aliwahadaa umma wote wakiwemo mawaziri wenzie kuwa yeye ndiye Rais ajaye anayesubiri muda tu na kwamba wengine wote wanapoteza muda. Lakini tangu kakosa uRais bado hajaamini, amechanganyikiwa.”

”MEMBE alipoanza kumshambulia Rais Magufuli January 22,23 mwaka 2016 akiwa MNEC, nafasi kubwa kabisa, hakuna mzee aliyekemea wala kutoa waraka wa kutaka suala hilo lijadiliwe. Wakati huo Rais Magufuli hakuwa Mwenyekiti wa CCM bado.”

”Nape aliyekuwa mwenezi hakutoa tamko kumuonya MEMBE wala Katibu Mkuu Kinana. Wote walikaa kimya huku Rais Magufuli akishambuliwa tena na mjumbe wa NEC, kikao kikubwa kabisa cha Chama. Hawa wote walimlea MEMBE na alikua hagusiki. Leo hii wao wamestaafu wamesemwa wanataka Chama kikae vikao kujibu.”

”Nilipojitolea kumjibu Membe na kumtetea Mhe Rais tarehe 24/1/2016 nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM pale Lumumba nilishughulikiwa sana na hawa kina NAPE huku maelekezo yakitolewa kuwa nivuliwe nafasi zangu za uongozi wa kitengo cha Vyuo vikuu na nipelekwe vijijini niondolewe Lumumba. Hao ndio kina Nape.”

”Namuomba Rais wala asiwajibu hawa watu, atuachie hiyo kazi sisi. Yeye abaki kwenye focus ya nchi maana lengo Lao ovu ni kumtoa kwenye mstari.”

”Membe alishindwa mapambano akiwa Waziri wa mambo ya nje, akijipambanua kuwa Waziri mpendwa wa awamu ya nne (the beloved minister), leo hawezi kutusumbua akiwa mstaafu.”


”Wazee wastaafu ni muhimu wakae kimya, wamuache Rais afanye kazi aliyopewa na watanzania. Ukistaafu kusemwa ni kawaida na wao sio wa kwanza.”

”Mzee Mkapa aliwahi kusema mwanasiasa nguli wa shughuli za serikali ni yule aliyestaafu kisha akachunga ulimi wake. Wazee Hawa wachukue busara hii ya mzee Mkapa itawasaidia.”

”Vijana tutamlinda Rais wetu, ili yeye ajikite kwenye kazi ya kujenga nchi hasa katika kipindi hiki cha mageuzi makubwa ndani ya taifa letu.”

RC Hapi
 
Hivi Marais huwa hawajui kuwa watu wanawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa mpaka watoke madarakani? Hata Kikwete ilikuwa hivi - kutetewa na kugombaniwa. Na Riz-1 kufungiwa kamba za viatu. Nani anawafikiria tena? Wote wamesahaulika! Musiba alikuwa kwa Riz-1 na babake kabla ya Jiwe. Sasa hivi hana habari nao! Rais anayefikiri anapendwa na hawa wapiga kelele ni Rais mjinga tu.
 
RC HAPI AWASHUKIA KINANA, MAKAMBA, MEMBE

Asema muda wao wa utumishi umekwisha ni vema wanyamaze kumuacha Rais Magufuli afanye kazi.

“Shambulio dhidi ya Rais ni shambulio letu sote, ni shambulio la serikali nzima. Hivyo kama Mkuu wa Mkoa, kijana na mzalendo siwezi kukaa kimya. Tutamlinda Rais wetu kwa gharama yoyote”

”Yanayoendelea na kufanywa na wastaafu sisi kama vijana tunaowaheshimu sana tunasikitika na kushangaa.Imekuaje leo wamesahau mafundisho ambayo wamekua wanatufundisha miaka yote? Subira, uvumilivu, kutii mamlaka na kuheshimu utaratibu vimepotelea wapi??
Wana maslahi gani yaliyojificha??”

”Shambulio dhidi ya umoja na mshikamano wetu ni shambulio letu sote. Vijana tutajibu mapigo.”

”Wanataka kumuondoa Rais Magufuli kwenye shabaha yake kwa nchi. Wanataka kumpotezea dira aache kushughulika na shida za wananchi ashughulike na mambo ya hovyo. Hatuwezi kuruhusu hilo litokee.”

”Njama zao dhidi ya nchi yetu tunazijua. Wengine ubinafsi na kukosa Urais mwaka 2015 bado kunawatesa.”

”Hakuna mtu muongo nchi hii kama Bernard Membe. Akiwa waziri aliwahadaa umma wote wakiwemo mawaziri wenzie kuwa yeye ndiye Rais ajaye anayesubiri muda tu na kwamba wengine wote wanapoteza muda. Lakini tangu kakosa uRais bado hajaamini, amechanganyikiwa.”

”MEMBE alipoanza kumshambulia Rais Magufuli January 22,23 mwaka 2016 akiwa MNEC, nafasi kubwa kabisa, hakuna mzee aliyekemea wala kutoa waraka wa kutaka suala hilo lijadiliwe. Wakati huo Rais Magufuli hakuwa Mwenyekiti wa CCM bado.”

”Nape aliyekuwa mwenezi hakutoa tamko kumuonya MEMBE wala Katibu Mkuu Kinana. Wote walikaa kimya huku Rais Magufuli akishambuliwa tena na mjumbe wa NEC, kikao kikubwa kabisa cha Chama. Hawa wote walimlea MEMBE na alikua hagusiki. Leo hii wao wamestaafu wamesemwa wanataka Chama kikae vikao kujibu.”

”Nilipojitolea kumjibu Membe na kumtetea Mhe Rais tarehe 24/1/2016 nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM pale Lumumba nilishughulikiwa sana na hawa kina NAPE huku maelekezo yakitolewa kuwa nivuliwe nafasi zangu za uongozi wa kitengo cha Vyuo vikuu na nipelekwe vijijini niondolewe Lumumba. Hao ndio kina Nape.”

”Namuomba Rais wala asiwajibu hawa watu, atuachie hiyo kazi sisi. Yeye abaki kwenye focus ya nchi maana lengo Lao ovu ni kumtoa kwenye mstari.”

”Membe alishindwa mapambano akiwa Waziri wa mambo ya nje, akijipambanua kuwa Waziri mpendwa wa awamu ya nne (the beloved minister), leo hawezi kutusumbua akiwa mstaafu.”


”Wazee wastaafu ni muhimu wakae kimya, wamuache Rais afanye kazi aliyopewa na watanzania. Ukistaafu kusemwa ni kawaida na wao sio wa kwanza.”

”Mzee Mkapa aliwahi kusema mwanasiasa nguli wa shughuli za serikali ni yule aliyestaafu kisha akachunga ulimi wake. Wazee Hawa wachukue busara hii ya mzee Mkapa itawasaidia.”

”Vijana tutamlinda Rais wetu, ili yeye ajikite kwenye kazi ya kujenga nchi hasa katika kipindi hiki cha mageuzi makubwa ndani ya taifa letu.”

RC Hapi

Ama kweli kwenye hii serikali, wote ni kambale, wanasharubu wote. Kila mmoja anajisemea anavyotaka
 
Njaa mbaya sana , ogopa sana njaa wakuu ubongo unahamia tumboni , The politicians of your country will always try to encircle you with the high walls of lies! You must know that the truth is beyond the walls and without meeting the truth you cannot meet the freedom!
 
Ukishakuwa kwenye nafasi ya JK, ndio unajua kuwa kumbe ulikuwa unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Utawaona wanahamia kwa aliyechukuwa nafasi yako na kukusahau!
Njaa mbaya sana , ogopa sana njaa wakuu ubongo unahamia tumboni , The politicians of your country will always try to encircle you with the high walls of lies! You must know that the truth is beyond the walls and without meeting the truth you cannot meet the freedom!
 
RC HAPI AWASHUKIA KINANA, MAKAMBA, MEMBE

Asema muda wao wa utumishi umekwisha ni vema wanyamaze kumuacha Rais Magufuli afanye kazi.

“Shambulio dhidi ya Rais ni shambulio letu sote, ni shambulio la serikali nzima. Hivyo kama Mkuu wa Mkoa, kijana na mzalendo siwezi kukaa kimya. Tutamlinda Rais wetu kwa gharama yoyote”

”Yanayoendelea na kufanywa na wastaafu sisi kama vijana tunaowaheshimu sana tunasikitika na kushangaa.Imekuaje leo wamesahau mafundisho ambayo wamekua wanatufundisha miaka yote? Subira, uvumilivu, kutii mamlaka na kuheshimu utaratibu vimepotelea wapi??
Wana maslahi gani yaliyojificha??”

”Shambulio dhidi ya umoja na mshikamano wetu ni shambulio letu sote. Vijana tutajibu mapigo.”

”Wanataka kumuondoa Rais Magufuli kwenye shabaha yake kwa nchi. Wanataka kumpotezea dira aache kushughulika na shida za wananchi ashughulike na mambo ya hovyo. Hatuwezi kuruhusu hilo litokee.”

”Njama zao dhidi ya nchi yetu tunazijua. Wengine ubinafsi na kukosa Urais mwaka 2015 bado kunawatesa.”

”Hakuna mtu muongo nchi hii kama Bernard Membe. Akiwa waziri aliwahadaa umma wote wakiwemo mawaziri wenzie kuwa yeye ndiye Rais ajaye anayesubiri muda tu na kwamba wengine wote wanapoteza muda. Lakini tangu kakosa uRais bado hajaamini, amechanganyikiwa.”

”MEMBE alipoanza kumshambulia Rais Magufuli January 22,23 mwaka 2016 akiwa MNEC, nafasi kubwa kabisa, hakuna mzee aliyekemea wala kutoa waraka wa kutaka suala hilo lijadiliwe. Wakati huo Rais Magufuli hakuwa Mwenyekiti wa CCM bado.”

”Nape aliyekuwa mwenezi hakutoa tamko kumuonya MEMBE wala Katibu Mkuu Kinana. Wote walikaa kimya huku Rais Magufuli akishambuliwa tena na mjumbe wa NEC, kikao kikubwa kabisa cha Chama. Hawa wote walimlea MEMBE na alikua hagusiki. Leo hii wao wamestaafu wamesemwa wanataka Chama kikae vikao kujibu.”

”Nilipojitolea kumjibu Membe na kumtetea Mhe Rais tarehe 24/1/2016 nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM pale Lumumba nilishughulikiwa sana na hawa kina NAPE huku maelekezo yakitolewa kuwa nivuliwe nafasi zangu za uongozi wa kitengo cha Vyuo vikuu na nipelekwe vijijini niondolewe Lumumba. Hao ndio kina Nape.”

”Namuomba Rais wala asiwajibu hawa watu, atuachie hiyo kazi sisi. Yeye abaki kwenye focus ya nchi maana lengo Lao ovu ni kumtoa kwenye mstari.”

”Membe alishindwa mapambano akiwa Waziri wa mambo ya nje, akijipambanua kuwa Waziri mpendwa wa awamu ya nne (the beloved minister), leo hawezi kutusumbua akiwa mstaafu.”


”Wazee wastaafu ni muhimu wakae kimya, wamuache Rais afanye kazi aliyopewa na watanzania. Ukistaafu kusemwa ni kawaida na wao sio wa kwanza.”

”Mzee Mkapa aliwahi kusema mwanasiasa nguli wa shughuli za serikali ni yule aliyestaafu kisha akachunga ulimi wake. Wazee Hawa wachukue busara hii ya mzee Mkapa itawasaidia.”

”Vijana tutamlinda Rais wetu, ili yeye ajikite kwenye kazi ya kujenga nchi hasa katika kipindi hiki cha mageuzi makubwa ndani ya taifa letu.”

RC Hapi
Baada ya kuona Bashe kapiga domo kapewa uwaziri.
Wewe happy kama wewe, unataka upandishwe cheo uwe nani?
Ni kwa vile husemi tu. Watu wa dizaini yako hata ukiwapa urais wanatamani uungu.
 
Njaa mbaya sana , ogopa sana njaa wakuu ubongo unahamia tumboni , The politicians of your country will always try to encircle you with the high walls of lies! You must know that the truth is beyond the walls and without meeting the truth you cannot meet the freedom!
Huyu kijana sijawahi kumkubali hats Sikh Mona yeye in full kujikomba na in mpumbavu bado sana.kama mdada tu
 
RC HAPI AWASHUKIA KINANA, MAKAMBA, MEMBE


”Nilipojitolea kumjibu Membe na kumtetea Mhe Rais tarehe 24/1/2016 nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM pale Lumumba nilishughulikiwa sana na hawa kina NAPE huku maelekezo yakitolewa kuwa nivuliwe nafasi zangu za uongozi wa kitengo cha Vyuo vikuu na nipelekwe vijijini niondolewe Lumumba. Hao ndio kina Nape.”


RC Hapi
Tumeshaelewa ilikuwaje ukapata UKUU WA WILAYA kisha MKOA
 
”MEMBE alipoanza kumshambulia Rais Magufuli January 22,23 mwaka 2016 akiwa MNEC, nafasi kubwa kabisa, hakuna mzee aliyekemea wala kutoa waraka wa kutaka suala hilo lijadiliwe. Wakati huo Rais Magufuli hakuwa Mwenyekiti wa CCM bado.”

Ha ha haaaa
Halafu akafikiri Bashiru atadansi kwenye muziki wake.. Wasingemkemea kwa kutokana na audio.. Membe ndie amewasukuma waandike waliyoandika.. Membe ndie bosi wao wanamtaka awe raisi waendeleze maisha yao. Ila Membe anajua kupiga udaku.. eeeeeh mmbeya haswa.. bado nacheka alivuokuwa anayaongea.

Na nyie huko CCM vijana mnachezeana wengine hawatakupa sapoti kwa sababu wanafikiria vyeo tu wala sio kukijenga chama.. wanaugua juu ya Mtariro kupewa u DC..
 
Mtu anatoa maoni yake mnasema njaa mbaya sana kwahiyo mnataka maoni yenu ndio yawe sahihi siku zote
 
juzi nilikua namuangalia waziri wa ardhi kwenye Tv,,nikajisemea katika mawaziri wa ukweli awamu hii ni huyu,nimemsahau jina,somebody william au willison,aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa dar enzi za jk,waziri huyu yeye ni kazi tu,hana mambo ya kinafiki,kujipendekeza etc,mawaziri mfano wa umi,mwinyi,jafo,hawana mda wa majungu ni kazi tu
 
Mpuuzi kabisa huyu! Kuandika upuuzi wote huu halafu kawa kimya kabisa kuhusu kikaragosi cha nduli msiba wa msiba ambaye ndiye chanzo cha huu mgogoro.

RC HAPI AWASHUKIA KINANA, MAKAMBA, MEMBE

Asema muda wao wa utumishi umekwisha ni vema wanyamaze kumuacha Rais Magufuli afanye kazi.

“Shambulio dhidi ya Rais ni shambulio letu sote, ni shambulio la serikali nzima. Hivyo kama Mkuu wa Mkoa, kijana na mzalendo siwezi kukaa kimya. Tutamlinda Rais wetu kwa gharama yoyote”

”Yanayoendelea na kufanywa na wastaafu sisi kama vijana tunaowaheshimu sana tunasikitika na kushangaa.Imekuaje leo wamesahau mafundisho ambayo wamekua wanatufundisha miaka yote? Subira, uvumilivu, kutii mamlaka na kuheshimu utaratibu vimepotelea wapi??
Wana maslahi gani yaliyojificha??”

”Shambulio dhidi ya umoja na mshikamano wetu ni shambulio letu sote. Vijana tutajibu mapigo.”

”Wanataka kumuondoa Rais Magufuli kwenye shabaha yake kwa nchi. Wanataka kumpotezea dira aache kushughulika na shida za wananchi ashughulike na mambo ya hovyo. Hatuwezi kuruhusu hilo litokee.”

”Njama zao dhidi ya nchi yetu tunazijua. Wengine ubinafsi na kukosa Urais mwaka 2015 bado kunawatesa.”

”Hakuna mtu muongo nchi hii kama Bernard Membe. Akiwa waziri aliwahadaa umma wote wakiwemo mawaziri wenzie kuwa yeye ndiye Rais ajaye anayesubiri muda tu na kwamba wengine wote wanapoteza muda. Lakini tangu kakosa uRais bado hajaamini, amechanganyikiwa.”

”MEMBE alipoanza kumshambulia Rais Magufuli January 22,23 mwaka 2016 akiwa MNEC, nafasi kubwa kabisa, hakuna mzee aliyekemea wala kutoa waraka wa kutaka suala hilo lijadiliwe. Wakati huo Rais Magufuli hakuwa Mwenyekiti wa CCM bado.”

”Nape aliyekuwa mwenezi hakutoa tamko kumuonya MEMBE wala Katibu Mkuu Kinana. Wote walikaa kimya huku Rais Magufuli akishambuliwa tena na mjumbe wa NEC, kikao kikubwa kabisa cha Chama. Hawa wote walimlea MEMBE na alikua hagusiki. Leo hii wao wamestaafu wamesemwa wanataka Chama kikae vikao kujibu.”

”Nilipojitolea kumjibu Membe na kumtetea Mhe Rais tarehe 24/1/2016 nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM pale Lumumba nilishughulikiwa sana na hawa kina NAPE huku maelekezo yakitolewa kuwa nivuliwe nafasi zangu za uongozi wa kitengo cha Vyuo vikuu na nipelekwe vijijini niondolewe Lumumba. Hao ndio kina Nape.”

”Namuomba Rais wala asiwajibu hawa watu, atuachie hiyo kazi sisi. Yeye abaki kwenye focus ya nchi maana lengo Lao ovu ni kumtoa kwenye mstari.”

”Membe alishindwa mapambano akiwa Waziri wa mambo ya nje, akijipambanua kuwa Waziri mpendwa wa awamu ya nne (the beloved minister), leo hawezi kutusumbua akiwa mstaafu.”


”Wazee wastaafu ni muhimu wakae kimya, wamuache Rais afanye kazi aliyopewa na watanzania. Ukistaafu kusemwa ni kawaida na wao sio wa kwanza.”

”Mzee Mkapa aliwahi kusema mwanasiasa nguli wa shughuli za serikali ni yule aliyestaafu kisha akachunga ulimi wake. Wazee Hawa wachukue busara hii ya mzee Mkapa itawasaidia.”

”Vijana tutamlinda Rais wetu, ili yeye ajikite kwenye kazi ya kujenga nchi hasa katika kipindi hiki cha mageuzi makubwa ndani ya taifa letu.”

RC Hapi
 
Hapi hata huo ukuu wa mkoa ulipewa tu kwa sababu ya kujikomba ila huko competent na unapaswa kuanza somo la diplomasia kwanzia ngazi ya cheti chuo cha diplomasia kigamboni! Kinondoni ilielemewa na migogoro ya ardhi chini yako! Ni suala la muda tu weka akiba ya maneno maana JPM hana rafiki wala adui wa kudumu so kesho inaweza kuwa ni zamu yako kufuata njia waliyoifuata wenzio!
 
Haka nako uwa kapuuzi, ila kwa Suala la Membe kujiona ni rais ajaye nilikutana nalo pia kutoka kwa mkandarasi alokuwa anajenga Nyumba yake,

”Hakuna mtu muongo nchi hii kama Bernard Membe. Akiwa waziri aliwahadaa umma wote wakiwemo mawaziri wenzie kuwa yeye ndiye Rais ajaye anayesubiri muda tu na kwamba wengine wote wanapoteza muda. Lakini tangu kakosa uRais bado hajaamini, amechanganyikiwa.”

Inamaana alijua hata NeC ingemtangaza hivohivo bila uchaguzi ama?
 
Jamani tuwe fair Cheo Cha mkuu wa mkoa Sio Cha kisiasa ukishapewa please.Mkuu wa mkoa ni mtumishi wa umma Sio wa chama.Mambo ya chama aachie chama viongozi wa chama wamenyane wenyewe yeye aendelee na ukuu wa mkoa tu.Tukichanganya mambo hivi nchi haitaenda.Wakuu wa mikoa Ni watekelezaji wa ilani ya CCM Lakini SI viongozi wa CCM hawatakiwi kuonyesha wazi ukereketwa wa Chama .Hilo no no no no.Mkuu wa mkoa wa Iringa kachemka Tena Sana.Mkuu wa mkoa Hana kofia Mbili ya chama na serikali.Kofia Mbili anazo raisi tu
 
Back
Top Bottom