Pole Sana Dadajamaa msanii sana.
Maskini,wakimuona alivyokaa hivo wanaona kweli rais mtu wa watu!kumbe msanii,mlaghai,muongo,,,,,,
Mkono wa kulia wa Kikwete upo wapi?
naitafuta ile aliyowekewa mkeka akipanda mti niiunganishe na hii,nadhani itanoga kuziweka pamoja!
Nimeipenda sahihi yako. Pata wimbo huu hapa wenye mlengo sawa na hiyo sahihi yako.
http://www.youtube.com/watch?v=9qHZ2FLgoFU
asante wimbo una maneno mazuri sana!
Ni kweli nami niliupenda sana kutokana na maneno yake mazuri japo staili ya waimbaji haijakaa vizuri