kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 4,870
- 7,029
Hata Magufuli itafikia miaka 20 pia na Nyerere atakuwa na arobainiKiongozi aliyegoma Kufa kwa miaka 20 ni Nyerere Peke yake
Poleni sana sukuma gang,ila angalizo ni kuwa siku nyingine mkipata kiongozi mkuu wa nchi kutoka kwenye kundi lenu msije mkathubutu kumtukuza sana.La sivyo mtaomboleza sana kwa sababu ya upumbavu wenu.Kumbuka huyu ana siku maalum. Lakini mwamba JPM pamoja na siku ya kifo chake kuingizwa mambo mengine ila bado anaishi mioyoni mwa watu. Ipo siku ukweli wa kifo chake utawekwa wazi! Tukazane tu na maombi
Huna akili kabisa,Sasa wapi ambapo hajagusa miaka hii mitatu. Jpm hajawahi kuajiri kwa miaka yote aliyokaa madarani na pia private sector ilikufa. Samia ameajiri mamia kwa maelfu na private sector kafufua
Sukuma gang empire don't include majority of people please.Tulio wengi, tupo na JPM kwenye mioyo yetu. Hakika tumepoteza jembe.
Ile siyo ajira ni causal work ambayo mradi ukiisha na ajira imeishia hapo. Kazi ni zile za permanent kama ualimu, udaktari nk ambazo jpm alipigwa Pini kabisa. Halafu hiyo miradi inasababiclsa capital draining mana wanaojenga si ma engineer wa hapa pia inasababisha nchi kubebeshwa mizigo ya madeni mana miradi ni mikubwa bajeti ndogo( 31 trillion). Akili inabidi itumike sana siyo papara kama za yule mwehuHuna akili kabisa,
SGR, madaraja, bwawa la umeme haikuwa private sector?
Bwawa peke yake liliajiri watu zaidi ya elfu 10 unasemea ajira zipi?
Nani kakudanganya ni COVID-19 ndio iliyomuua?Anaongelewa sana kwa sababu alijifanya Mungu lakini matokeo yake korona ikamfagia pamoja na kuiba uchaguzi.
Kwani ni uongo?Nani kakudanganya ni COVID-19 ndio iliyomuua?
Wanafanyaje fanyaje kufika mioyoni?Hata Magufuli itafikia miaka 20 pia na Nyerere atakuwa na arobaini
Ila kwanini nguvu kubwa sana inatumika na watesi wake kumpoteza mioyoni mwa watanzania?
Wewe ni chizi aisee , wafuasi wa Chadema mna shida mahalaHata huyo hakuna kitu
Nikweli kabisa yupo na anachapa kazi na "ANAKUSALIMIA" Ng'ombe wewe😡Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.
Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgao wa umeme tungekuwa tunausikia tu.
Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.
Hadi 2030 tutasikia mengi.
Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Jawezi kumzidi Adolf Hitler kwa kutajwa.Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.
Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgao wa umeme tungekuwa tunausikia tu.
Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.
Hadi 2030 tutasikia mengi.
Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Halafu baadae mnahoji Samia anakopa hela kafanyia niniSamia hana ujanja. Inabidi tu amalizie miradi ya Jiwe ndio aanze kuwaza mengine.
Mgao upo bado. Ila anajitahidi, na yeye aliona majembe ya JPM ndio mkombozi, Vinginevyo akina makamba wange msumbua sana.
Kabudi ni wengi? Ukitumwa wengi unapeleka kabudi? Elimu yako tafadhali ! ?Wewe na Prof Kabudi nani mwenye shule ndogo?