Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,447
- Thread starter
-
- #21
mkuu hakuna haja ya kurudia alichokisema Musiba ambacho tayari kipo hapa jf , mimi nimejikita kuzishangaa mamlaka , labda kwa heshima yako tu naomba nirudie kidogo aliyoyasema Musiba japo si kwa mpangilio mzuri , Musiba anasema yeye kama mtetezi wa Magufuli yuko tayari kuwatia vilema wale wote wanaomtukana Rais mitandaoni , kwamba kwake yeye kuuwa na kuteka ndiyo hukumu ya wakosoaji , sasa hili kalisema kwa njia ya video na mamlaka zote zimeona na kunyamaza .mkuu huyu mwandishi anasemea udabo standadi unaofanywa na serikali, wakisema watu wengine wanakamatwa, na wakisema akina musiba hawakamatwi au wanaogopwa, ndio maana mwandishi hajasema musiba alisema nini? kuna mjumbe hapo juu kauliza kwànai aliesemwa na musiba kuwa angetekwa ni nani? nami nichukue fursa ya kumuuliza mwandishi atukumbushe aliyoyasema musiba!
😷😷😷😷😷Sio kila rafiki yako ni rafiki yako pengine adui yako ndio rafiki yako....
Kuna watu wanaenda shimo kubwa hapo dar.
aisee... OK🙏🙏mkuu hakuna haja ya kurudia alichokisema Musiba ambacho tayari kipo hapa jf , mimi nimejikita kuzishangaa mamlaka , labda kwa heshima yako tu naomba nirudie kidogo aliyoyasema Musiba japo si kwa mpangilio mzuri , Musiba anasema yeye kama mtetezi wa Magufuli yuko tayari kuwatia vilema wale wote wanaomtukana Rais mitandaoni , kwamba kwake yeye kuuwa na kuteka ndiyo hukumu ya wakosoaji , sasa hili kalisema kwa njia ya video na mamlaka zote zimeona na kunyamaza .
Ulienda kufanya nini au ulikuwa kwenye msafara wa Rais?Mkuu nilikuwa Johannesburg 2 weeks ago , wanashangaa sana kuhusu Tanzania ya sasa !
nina kampuni kubwa sana ya ujenzi kwenye nchi ileUlienda kufanya nini au ulikuwa kwenye msafara wa Rais?
Najua kweli unakampuni kubwa unatembea nayo!! Hahahahanina kampuni kubwa sana ya ujenzi kwenye nchi ile
Wanashangaa nini hao wazuru?Mkuu nilikuwa Johannesburg 2 weeks ago , wanashangaa sana kuhusu Tanzania ya sasa !
Aisee ametema upupu wa hatari kuhusu mh Meeeembe yani angesema mpinzani tusingemsikia tenamkuu huyu mwandishi anasemea udabo standadi unaofanywa na serikali, wakisema watu wengine wanakamatwa, na wakisema akina musiba hawakamatwi au wanaogopwa, ndio maana mwandishi hajasema musiba alisema nini? kuna mjumbe hapo juu kauliza kwànai aliesemwa na musiba kuwa angetekwa ni nani? nami nichukue fursa ya kumuuliza mwandishi atukumbushe aliyoyasema musiba!
Musiba ni mtego wa rais mpuuzi anayevizia kufuta vyama vingi. Musiba ana viashiria vyote vya kuchokoza watu wanaoumizwa na nduli ili wareact wapate kisingizio cha kwenda full dictatorship. Kufuta vyama vingi etc. Familia za kina Ben saa8 na Azory wanaweza kuingia3 mtegoni kwa kumshughulikia huyu shogaWakuu natanguliza salamu , na baada ya salamu najikita moja kwa moja kwenye mada .
Nilikuwa kimya kwenye Kauli za uchochezi zilizoambata na viashiria vya kupanga utekaji na mauaji kutoka kwa anayejiita mwanaharakati wa Magufuli aitwaye Musiba , bado haijafahamika kama uanaharakati wa Musiba anaodai kuwa nao ni kwa Magufuli binafsi au ni uanaharakati kwa Magufuli ambaye ni Rais wa Tanzania.
Bali kinachofahamika ni kwamba kwa kauli zile bila kujali anayemharakatia alipaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za uchochezi pamoja na kupanga mauaji , ni aibu kubwa sana kwa kiongozi wa nchi kuwa na mpambe wa aina ya Musiba na pia ni aibu kubwa sana kwa nchi ya Tanzania kumnyamazia mtu wa aina hii hata angekuwa " mtoto wa nje ya ndoa " wa Rais , pamoja na ukweli wote kwamba Sheria za mitandao inapinga mtu yeyote kusambaza uchochezi wa namna hii , lakini si TCRA wala jeshi la polisi waliothubutu kukemea jambo hili , hawa wote WAMEUFYATA , tena wameufyata kweli kweli.
Huu ni uthibitisho kwamba wote hawa wanamuogopa na kumtii Musiba , swali la kujiuliza ni hili , kwanini mamlaka za Tanzania zinamtii na kumuogopa raia huyu asiye na dhamana yoyote hata kwenye eneo la nyumba 10 ?
uongo utakusaidia nini ?Mtoa mada unachokifanya ni uchochezi wenye kiwango sawa na unayemtuhumu lakini tatizo upo bias.
Nmetoka Dubai 1Week Tz imebadilikaMkuu nilikuwa Johannesburg 2 weeks ago , wanashangaa sana kuhusu Tanzania ya sasa !
Nan musibaHuyo jamaa nae eti ni ti ais es et, ndio maana ana kiburi na kujiina hashikiki!
... jk hakumlipia mahari bure ati!
Ok , sasa nimeelewa mkuuMusiba ametokea bunda, Kangi ametokea bunda/mwibala na Sirro ametikea Kiabakari 30km toka bunda.
Mungu ibariki JfMusiba anapewa back up na Ikulu.
unaweza kuedit andiko lako ?Mtoa mada unachokifanya ni uchochezi wenye kiwango sawa na unayemtuhumu lakini tatizo upo bias.