Sasa ni dhahiri Kangi Lugola, Sirro na Mambosasa wanamuogopa Musiba na huenda wanamtii

mkuu huyu mwandishi anasemea udabo standadi unaofanywa na serikali, wakisema watu wengine wanakamatwa, na wakisema akina musiba hawakamatwi au wanaogopwa, ndio maana mwandishi hajasema musiba alisema nini? kuna mjumbe hapo juu kauliza kwànai aliesemwa na musiba kuwa angetekwa ni nani? nami nichukue fursa ya kumuuliza mwandishi atukumbushe aliyoyasema musiba!
mkuu hakuna haja ya kurudia alichokisema Musiba ambacho tayari kipo hapa jf , mimi nimejikita kuzishangaa mamlaka , labda kwa heshima yako tu naomba nirudie kidogo aliyoyasema Musiba japo si kwa mpangilio mzuri , Musiba anasema yeye kama mtetezi wa Magufuli yuko tayari kuwatia vilema wale wote wanaomtukana Rais mitandaoni , kwamba kwake yeye kuuwa na kuteka ndiyo hukumu ya wakosoaji , sasa hili kalisema kwa njia ya video na mamlaka zote zimeona na kunyamaza .
 
mkuu hakuna haja ya kurudia alichokisema Musiba ambacho tayari kipo hapa jf , mimi nimejikita kuzishangaa mamlaka , labda kwa heshima yako tu naomba nirudie kidogo aliyoyasema Musiba japo si kwa mpangilio mzuri , Musiba anasema yeye kama mtetezi wa Magufuli yuko tayari kuwatia vilema wale wote wanaomtukana Rais mitandaoni , kwamba kwake yeye kuuwa na kuteka ndiyo hukumu ya wakosoaji , sasa hili kalisema kwa njia ya video na mamlaka zote zimeona na kunyamaza .
aisee... OK🙏🙏
 
mkuu huyu mwandishi anasemea udabo standadi unaofanywa na serikali, wakisema watu wengine wanakamatwa, na wakisema akina musiba hawakamatwi au wanaogopwa, ndio maana mwandishi hajasema musiba alisema nini? kuna mjumbe hapo juu kauliza kwànai aliesemwa na musiba kuwa angetekwa ni nani? nami nichukue fursa ya kumuuliza mwandishi atukumbushe aliyoyasema musiba!
Aisee ametema upupu wa hatari kuhusu mh Meeeembe yani angesema mpinzani tusingemsikia tena
 
Wakuu natanguliza salamu , na baada ya salamu najikita moja kwa moja kwenye mada .

Nilikuwa kimya kwenye Kauli za uchochezi zilizoambata na viashiria vya kupanga utekaji na mauaji kutoka kwa anayejiita mwanaharakati wa Magufuli aitwaye Musiba , bado haijafahamika kama uanaharakati wa Musiba anaodai kuwa nao ni kwa Magufuli binafsi au ni uanaharakati kwa Magufuli ambaye ni Rais wa Tanzania.

Bali kinachofahamika ni kwamba kwa kauli zile bila kujali anayemharakatia alipaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za uchochezi pamoja na kupanga mauaji , ni aibu kubwa sana kwa kiongozi wa nchi kuwa na mpambe wa aina ya Musiba na pia ni aibu kubwa sana kwa nchi ya Tanzania kumnyamazia mtu wa aina hii hata angekuwa " mtoto wa nje ya ndoa " wa Rais , pamoja na ukweli wote kwamba Sheria za mitandao inapinga mtu yeyote kusambaza uchochezi wa namna hii , lakini si TCRA wala jeshi la polisi waliothubutu kukemea jambo hili , hawa wote WAMEUFYATA , tena wameufyata kweli kweli.

Huu ni uthibitisho kwamba wote hawa wanamuogopa na kumtii Musiba , swali la kujiuliza ni hili , kwanini mamlaka za Tanzania zinamtii na kumuogopa raia huyu asiye na dhamana yoyote hata kwenye eneo la nyumba 10 ?
Musiba ni mtego wa rais mpuuzi anayevizia kufuta vyama vingi. Musiba ana viashiria vyote vya kuchokoza watu wanaoumizwa na nduli ili wareact wapate kisingizio cha kwenda full dictatorship. Kufuta vyama vingi etc. Familia za kina Ben saa8 na Azory wanaweza kuingia3 mtegoni kwa kumshughulikia huyu shoga
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom