Sasa najiunga na ACT Tanzania


we we ni mzushi, wewe in gamba
 
Mwaka huu kampeni zitakuwa tamu sana
Mungu niweke hai nione anguko la CCM
 
 
Last edited by a moderator:
idadi ya wasaliti inazidi kupungua, hebu okoteza na wengine waliobaki ili chama kiwe safi.
 

Am sure zaidi ya Ushabiki Maandazi.. Hakuna unachojua kuhusu Act.. hujui hata hizo sera zilizokuvutia.
 

nyerere j.k,aliondoka na ujamaa wake, ujamaa ulishindwa kuleta mabadiliko kwa wtanzani wa miaka ya 1980s, nyie mnataka kuturudisha kipindi cha maduka ya USHIRIKA! ,UKILA MKATE UNAULIZWA UMETOA WAP!

ALishindwa nyerere, mje ninyi mjiite WAJAMAA ,Tokeni hapa! acheni siasa za kitoto!
 

Kama umeshagundua aina ya watu mnaojiunga na kukishabikia hapa JF hiki chama nikuunganisha na matamshi ya mwigamba kuwa focus ya chama ni kujiimarisha maeneo ya ..... na kuinyanganya ......huko zanzibar mtu mwenye akili timamu anaelewa hiki chama chenu ni cha aina gani na kinawalenga watu wa aina gani! Endeleeni na chama chenu lakini hamtafika popote kama huu ndo msingi wa chama chenu japo kwenye makaratasi mnadanganya! Mnaendelea kutia muhuri tuhuma za cdm kwa mwasisi na mwenyekiti wenu!
 

Mkuu wameshiba mgawo wa escrow hawa chezea mafisa ccm wewe! Nani qnataka ujamaa wakati hata china wenyewe wanaukimbia kidesign! Wanamtumia nyerere kwa manufaa ya matumbo yao hawajua hata wanachokiongelea. Nyerere kama alikuwa anaona ujamaa ungefanikiwa kwanini hakusema lolote wakati ulikufa na yeye yupo akiwa anaangalia na hata hivyo alikimbia madarakani baada ya kuona it doesn't work!

ACT wasichamganye ujamaa na kipande cha ujamaa(Azimio la Arusha)
Azimio la Arusha kila chama chenye nia njema kinaweza kulirudisha kwaajili ya kurejesha maadili ya uongozi lakini siyo kusema eti wao ni wajamaa wakati wanachoongelea ni maadili yavuongozi tu!

Zitto anajua maduka ya ushirika ya enzi za ujamaa au huwa anaambiwa story anakurupuka kuwa ujamaa ni kitu rahisi? Huyu bwana mdogo aendelee kuwadanganya wenye akili ndogo kama huyu aliyeanzisha hii thread!

Hakuna chama kinaweza kuja na idealogy yenye balance zaidi ya mlengo wakati yaani ujamaa kiasi na liberal kiasi na hii ndiyo idealogy ya chadema. Sasa hawa wanataka kutudanganya na ujamaa gani utakaokubarika kwenye mazingira ya karne hii ya 21? Zitto angekuwa anaujua ujamaa anaouongelea asingepiga pesa huko Nssf na kwingineko. Nadhani pia amehamia masaki kama sikosei kitu ambacho kwa mjamaa ni kosa maana unapashwa kuishi maisha sawa na yule mtu wa mwisho kimapato ambaye kwa tanzania ni mtu mwenye nyumba ya tembe ilikuleta usawa kwa watu wote kwa kipato! Zitto anaweza kufanya haya ili kuuishi ujamaa anaouzungumzia?
 

Tatizo la Watz wengi ni uvivu wetu wa kufikiri na kufanya tafiti kwenye masuala mengi hasa muhimu kama siasa, kwa miaka zaidi ya 20 ya siasa ya vyama vingi bado hatujaisoma siasa ya TZ. WHY? Na kabla hujawekeza akili na nguvu zako kwa Mh. ZZK, hebu jibu maswali yafuatayo na haya yanawahusu Watz wote waso na misimamo ya kisiasa kama ZZK.
- Kwa kifupi nipe chama cha siasa ambacho kwa uhakika hakina tabia za unafiki, fitina, uzandiki na ufahidhiza?
- Na pia nataka unijuze ni nani muasisi wa ACT na uasisi wake ulifanyika lini?
- Je unajua ni kwa nini ZZK hakwenda CCM au chama kingine zaidi ACT chama ambacho ni changa kuliko vyote?
- Tangu ACT imeasisiwa na baadaye kusajiliwa rasmi, je kwa nini walisubiri Mh ZZK kung'atuka CDM na then kukizindua rasmi baadaye mwezi huu?
- Je unajua siri ya hukumu ya Mahakama Kuu juu ya zuio la kesi ya ZZK kuweka zuio la kujadiliwa na CDM?
Kwa mwenendo huu wa watz basi ni kweli huyu umwitae mkoloni mweusi CCM kinapewa tiketi ya kutawala kwa muda mrefu sana
Akili mukichwa na wala usije chukulia kuwa kiongozi wako ni final.
Nasubiri majibu yako Bw. Nchaby.
 
Watanzani ccm ni jini tusiangalie mtu chama ni cha kifisadi wizi mtupu
 
Karibu chama cha wazalendo chenye falsafa ya unyerere
 

Kumbe ZZK tayari ni kiongozi??lol au ndo mwenyekiti wetu ACT???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…