Mkuu wewe umeomba maelezo ya mwenzio....awe mkristo,black etc black woman,mpenda maendeleo pasipo kuelezea sifa ulizonazo wewe mwenyewe!! anyway nipe sababu tatu tu za kupenda kuwa na mke mwalimu...rejea kichwa cha post hapo juu,ila awe anaishi sehemu moja kati ya hizi kwa sasa dodoma,morogoro na dar au katikati ya maeneo tajwa.kama ni muislamu basi akubali kuwa mristo baadae,tabia njema ndo kipaumbele japo black woman ni sifa ya ziada kwangu,si vibaya akawa na umri usiozidi 27.mpenda maendeleo .awe serious coz wengi hawako serious. kama ni mhusika njoo PM.
Naamini ni wepesi kuelewa unapotoa hoja juu jambo lolote ili litekelezeke na mengineyo mengiMkuu wewe umeomba maelezo ya mwenzio....awe mkristo,black etc black woman,mpenda maendeleo pasipo kuelezea sifa ulizonazo wewe mwenyewe!! anyway nipe sababu tatu tu za kupenda kuwa na mke mwalimu...
Kuna post ya uhamisho wa walimu iko STICKY, tembelea kule naamini hutakosa mwandani wakorejea kichwa cha post hapo juu,ila awe anaishi sehemu moja kati ya hizi kwa sasa dodoma,morogoro na dar au katikati ya maeneo tajwa.kama ni muislamu basi akubali kuwa mristo baadae,tabia njema ndo kipaumbele japo black woman ni sifa ya ziada kwangu,si vibaya akawa na umri usiozidi 27.mpenda maendeleo .awe serious coz wengi hawako serious. kama ni mhusika njoo PM.
Nilitaka kukupinga lakini chini umemalizia kwa kuandika vizuri sana.Walimu
1. Nature ya kazi inamfanya asiwe na mambo mengi kwa kuzingatia tabia njema, mavazi yenye staha, kulea familia kama mama bora na maendeleo kwa kubudget kipato kidogo.
2. Mda wa kazi unakuwa defined.
3. Pia kazi inamfanya awe kioo cha jamii kwa maana pale atakapotaka kufanya ujinga watu wengi ktk jamii wanakuwa wanamfahamu.
Ingawa kuna waalimu wachache saivi wanavuka hii mipaka hata hivyo sio wengi.
Nakubaliana na wewe. Huyu jamaa kama anataka mke mwalimu aende vijijini. Wengi walio mjini wamefanywa kuletwa.Pole sana, wake walimu wote wameshaolewa. Si rahisi kupata mke Mwalimu.
Waalimu huwa hawana safari za kwenda semina wala training. Wao ni January hadi december wapo tu maana hata kipindi cha likizo huwa wanapangiana zamu za kuja kusimamia usafiMkuu wewe umeomba maelezo ya mwenzio....awe mkristo,black etc black woman,mpenda maendeleo pasipo kuelezea sifa ulizonazo wewe mwenyewe!! anyway nipe sababu tatu tu za kupenda kuwa na mke mwalimu...
Mkuu nawajua vizuri, unamkuta sisita duu alivo utafikiri waiter wa Bar flani kumbe ni Mwalimu. Unategemea nn hapoNilitaka kukupinga lakini chini umemalizia kwa kuandika vizuri sana.
Pia ajaribu kuwa karibu na maafisa utumishi wa halmashauri zetu.Njia za kupata mke mwalimu mimi nazijua mbili tu. Kwanza nenda vyuoni mwenyewe utajua utafanya upate mke bora. Pili kama unarafiki mwalimu jaribu kumtumia huyo rafiki kukufanyia upelelezi katika eneo lake na kwa wengine anaofahamiana nao.
NB: Kua makini sana na walimu ambao vituo vyao vya kazi vipo mijini, hawa wengi maadili ya ualimu yameshawatokamo.
kabisaaaa, afadhali umemwambia amechelewa mnoPole sana, wake walimu wote wameshaolewa. Si rahisi kupata mke Mwalimu.
Mkuu kapange maeneo ya DUCEWalimu
1. Nature ya kazi inamfanya asiwe na mambo mengi kwa kuzingatia tabia njema, mavazi yenye staha, kulea familia kama mama bora na maendeleo kwa kubudget kipato kidogo.
2. Mda wa kazi unakuwa defined.
3. Pia kazi inamfanya awe kioo cha jamii kwa maana pale atakapotaka kufanya ujinga watu wengi ktk jamii wanakuwa wanamfahamu.
Ingawa kuna waalimu wachache saivi wanavuka hii mipaka hata hivyo sio wengi.