meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Great Thinkers!
Sasa nimehamia rasmi kambi makini ya CCM ya Magufuli baada ya kushuhudia utekelezaji usio wa kifani wa ahadi zake.
Nilikuwa CHADEMA kindakindaki niliwakubali na kuwapigia debe viongozi wa CHADEMA.
Nilifanya hivi baada ya kuuchukia ufisadi na mauzauza yote yaliyokuwa yanafanywa na wana CCM mafisadi.
Leo hii President John Pombe Magufuli ameonesha uthubutu na uthabiti dhidi ya wote wenye mienendo mibovu iwe ndani au nje ya CCM.
Roho yangu iliyahitaji na kuyatamani sana haya anayoyafanya Namba moja wa Dodoma kwa sasa akiwa amehamia 1BARABARA YA JULIUS NYERERE ROAD
CHAMWINO.
HE is The Real Deal!
Maamuzi yangu haya yanatokana na thread yangu nyeti ambayo leo kwa asilimia 100 imekuwa kweli.
www.jamiiforums.com
Ungana nami kama mzalendo mtaka mabadiliko ya kweli.
Sasa nimehamia rasmi kambi makini ya CCM ya Magufuli baada ya kushuhudia utekelezaji usio wa kifani wa ahadi zake.
Nilikuwa CHADEMA kindakindaki niliwakubali na kuwapigia debe viongozi wa CHADEMA.
Nilifanya hivi baada ya kuuchukia ufisadi na mauzauza yote yaliyokuwa yanafanywa na wana CCM mafisadi.
Leo hii President John Pombe Magufuli ameonesha uthubutu na uthabiti dhidi ya wote wenye mienendo mibovu iwe ndani au nje ya CCM.
Roho yangu iliyahitaji na kuyatamani sana haya anayoyafanya Namba moja wa Dodoma kwa sasa akiwa amehamia 1BARABARA YA JULIUS NYERERE ROAD
CHAMWINO.
HE is The Real Deal!
Maamuzi yangu haya yanatokana na thread yangu nyeti ambayo leo kwa asilimia 100 imekuwa kweli.
Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
uliona mbali sana mkuu nyie ndio magreater thinker sasa Watoto wameruhusiwa kuvamia jamvi ndio maana tume-mute kidogo ila ni lazima tuwaoneshe uwezo wa kufikiri
Ungana nami kama mzalendo mtaka mabadiliko ya kweli.