Sasa mmejua serikali ya awamu ya 5 si kwa maslai ya wananchi

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,749
8,996
Nilishawaambia hapa kuna mambo mengi sana kama hujielewi utakuwa unapiga makofi.. Yawezekana Rais Magufuli akawa na nia ya dhati lakini mfumo wa CCM si rahisi ukaweza kutekeleza yale uliyoyatamani kuyafanya kwani ni lazima utabidi ufumue uozo mwingi...

Kwani ufisadi ni Mbuyu wa siku nyingi na una mizizi imejikita kila kona ya serikali.. Japo Rais alitaka kuitikisa lakini kapigwa gavana na wenye CCM!

Usidhani ni swala la Lugumi pekee, yapo mengi ya aina hiyo hata STANBIC hautakaa uyasikie... Ndiyo maana unaambiwa hadi leo hakuna sababu ya kuonyesha Bunge live sababu kuwa ni aibu kwa serikali na ni mengi tutayasikia.

Usitegemea mapya utawala huu.
 
Bado kidogo nitoe utabiri wangu kuhusu Serikali hii, ila inakoelekea sio kuzuri
 
Serikali ya awamu ya 5 ipo kwa maslahi ya mafisadi.
sielewielewi vile mimi ...

ila ... tupeane muda ..

ninachokiona ni kwamba Magufuli ana nia ya dhati kukomesha ufisadi ila yeye ni mmoja kati ya elfu moja, ccm wote ni shida... angeamia upinzani ili aungane na wasafi ingekuwa safi sana
 
Hiyo ya serikali kuwepo kwa maslahi ya mafisadi ya ccm hakuna shaka. Mh Mag.hawezi kuwaangusha mafisadi waliompatia uongozi. Yaani nchi yetu maneno ni mengi kuliko vitendo

Utaona watu wadogo wadogo kama wafanyakazi wa Nida waliosimamishwa kazi Maskini hawapewi hata haki Zao lakini Lugumi na makando kando yake wanatesa.

Mh Mag anahusika na kuuza nyumba za Serikali chini ya Mkapa, unadhani anaweza chukua hatua kwa hilo?

nchi yetu sasa imegeuka kuwa ya ubabe na viongozi waoga, hii ni hatari
 
Siku ya kujiandikisha kupata kadi ya mpiga kura nilitumia Masaa zaidi ya nane, siku ya kupiga kura nilitumia masaa manne.. Tena nilijitoa kwa moyo mmoja... Wakiwa wengi tu walokuwa na moyo kama wangu.. Matokeo yalivyo toka yalitoka kwa style yake. Kama kweli matokeo yalipaswa yawe vile basi. Yangu macho mpaka mwisho
 
sielewielewi vile mimi ...

ila ... tupeane muda ..

ninachokiona ni kwamba Magufuli ana nia ya dhati kukomesha ufisadi ila yeye ni mmoja kati ya elfu moja, ccm wote ni shida... angeamia upinzani ili aungane na wasafi ingekuwa safi sana
ha ha ha... tutor B acha hizo, upinzani kuna wasafi??????? upo serious kweli au unatania. ebu nitajie msafi nani pale, mbowe, lema, lowasa, sumaye, kingunge, au nani?????? hakuna msafi kule wote wapo kwa maslahi yao tu. watanzania ni wale wale. hata wewe ukipewa nafasi utawaza kupiga tu. GO GO GO GO MAGU, komaa nao hao ccm watanyooka tu. na wala usisikilize kelele za vyura.
 
Kuna mtu alishawahi kueleza humu.

Kama jamaa ameingia madarakani kwa hila, kwa uchakachuzi na yeye analijua hilo, na yeye anajua ni kina nani wamemuweka pale.

Kwa hiyo lazima kutakuwa na limit katika vita dhidi ya ufisadi. Kwa sababu hata yeye mwenyewe ameingia madarakani kimtindo.

Ndio tunarudi kwenye ule msemo wa "kila m-babe ana m-babe wake"
 
ha ha ha... tutor B acha hizo, upinzani kuna wasafi??????? upo serious kweli au unatania. ebu nitajie msafi nani pale, mbowe, lema, lowasa, sumaye, kingunge, au nani?????? hakuna msafi kule wote wapo kwa maslahi yao tu. watanzania ni wale wale. hata wewe ukipewa nafasi utawaza kupiga tu. GO GO GO GO MAGU, komaa nao hao ccm watanyooka tu. na wala usisikilize kelele za vyura.
Kaka Msafi ni mmoja tu .... Tutor B bass, nipeni nafasi muone...
 
ha ha ha... tutor B acha hizo, upinzani kuna wasafi??????? upo serious kweli au unatania. ebu nitajie msafi nani pale, mbowe, lema, lowasa, sumaye, kingunge, au nani?????? hakuna msafi kule wote wapo kwa maslahi yao tu. watanzania ni wale wale. hata wewe ukipewa nafasi utawaza kupiga tu. GO GO GO GO MAGU, komaa nao hao ccm watanyooka tu. na wala usisikilize kelele za vyura.
WEWE UNAEJUA MACHAFU YAO HAO ULIOWATAJA BASI TUTAJIEE,,,,,,,, ACHA UNAFIKII WWE BADO KIJANAAA
UCHAFU WOTE ORIGIN YAKE NI CCM
 
Back
Top Bottom