Sasa mbona ananisumbua?

Mtarudiana na atakupa mtoto mwingine maana nyie wanawake kumbukumbu mnazo ila siyo za kudumu ndiyo maana kuzalishwa watoto watano kila huyo na baba yake rahisi mno kama simba kuwafunga yanga huku wakiwa pungufu.
 
Mbona una mzibia baba watoto kurudi!!?
Mwache walee mtoto
 
Ahsante
 
Hivi hii busara umeitoa wap shunie Jaman khaa mbna sio wa hvyo wewe.
Back to the topic kama unaomba ushaur means bado unampenda other wise usingejisumbua nae.
So kama unamtaka mrudie otherwise usje ukaanzisha thread nyengne
mm nina busara Bonny basi tu huwa haunikubali unaniona kiazi

huyo dada anampenda huyo jamaa acha wakaongeze mtto mwingine wa pili, kuna vitu vingine ujue sio kila kitu kinachokukuta unakimbilia jf kuomba ushauri vingine unamalizana navyo mwenyewe.
 
hivi Dada mtto wako uliyemzaa kweli atakupanda kichwani
 
Wewe ndio unaweza kuamua, kama humtaki kaa mbali naye. ukitaka mrudiane ili mlee mtoto sawa, na kama bado unampenda ni vizuri urudiane
May be kabadilika.
Mkuu mbona kama unamrudisha mleta uzi kwenye moto wa jehannam??
 
Wewe ndio unaweza kuamua, kama humtaki kaa mbali naye. ukitaka mrudiane ili mlee mtoto sawa, na kama bado unampenda ni vizuri urudiane
May be kabadilika.
Simpend Tena na siko tayar kurudiana nae
 
Chimbuko la matatizo yote ni wewe mwenyewe kulazimisha ndoa kwa mtu asiyekutaka kwa kigezo cha eti 'alishakula tunda'....pole

Huyo mwanaume tangu mwanZo hakuwahi kukufaa...usitarajie atakufaa sasa hivi
Niliona alishaniharibia yeyote mwengne acngeniamn
 
ila dada yote aliyokufanyia huyo mwanaume kweli una hamu ata ya kuja kumwanzishia thread uombe ushauri ww bado unampenda huyo jamaa kazi kwako
Baada ya hii post yako ilitakiwa thread ifungwe.
Huyu dada ni mpumbavu.
Hilo toto nalo lina akili za baba yake.
Ni lipumbavu pia.

Kungekuwa na chuo kinachofundisha nyodo ningekulipia ukasomee.
Huyo mumeo kwanza hutakiwi hata ujibu meseji zake. Block kabisa.
Kama mwanae anataka kwenda kwa baba yake na umri unaruhusu mwache aende.
Wewe kufa na maisha yako.
Mwanaume kama huyo ukimkubali tu ni mkosi. Utashangaa unafikisika na unaanza kuhangaika tena na atakukimbia.
Kwanza lazima atakuwa ni mchawi. Binadamu wa kawaida hawezi kujitoa ufahama kiasi hiki
 
Yy ndio anaemtafuta mtoto anaenda hadi shule na kwa Bibi yake pia anaenda kumtia maneno mpk yameshamjaa ukizingatia jamaaa Mambo yamemchachia sa iv Ni fundi cm
Lazima yamchachie cuz "to every action,there is equal&opossite reaction".
Malipo ni hapahapa duniani,
Hivyo akili kumkichwa mkuu..
 
Huyo mapenzi hana anachopenda pesa kama na ww sikio la kufa basi rudiana nae
 
Wewe ni hayawani!
 
Nimeshablock Ila sometimes anatumia namba ya mtt kunipigia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…