nilitaka nikuulize hivi hivi, je huyo mtoto anakutana na baba yake na kuongea, kumbe jibu n ndio, Mm nina iman 99% hata hayo maneno ya kuua huyo mtoto anapandikiziwa na Baba yake, mtoto wa miaka mitano anapata wap Confidenc ya kumwambia mama yake ivyoo, Ninacho kushaur, Katisha mawasiliano kbsa kat ya baba na mtoto, Atamharibu mtoto wako, hujo jamaa inaonesha Sio km anaroho mbaya tuu bali n katili, Hata ukiolewa usikubali ajue hilo, hashindwi kukufanyia lolote, Mtoto Kaa nae taratibu mueleze mambo ya baba yake, Haiwezekan ww unaish na mtoto halaf baba wa kukutana nae ma dk ndo awe na ushawish kukuzd ww.Yy ndio anaemtafuta mtoto anaenda hadi shule na kwa Bibi yake pia anaenda kumtia maneno mpk yameshamjaa ukizingatia jamaaa Mambo yamemchachia sa iv Ni fundi cm
Njooo Nikutoe Out. Km alikataa Ndoa, akakataa Kuish na wewe, akakataa tena na Mtoto Huyo jamaa Hakupendi kbsaa. Najua mtoto unampenda sanaa na lazma umepende mtoto wako hasa uliyemzaa na kumlea kwa shda akafka hapo, Huyo mtoto bado n mdg sana muwah mapema umbadilishe mawazo yke ,umri wake ni wa kupokea chochotee.Chimbuko la matatizo yote ni wewe mwenyewe kulazimisha ndoa kwa mtu asiyekutaka kwa kigezo cha eti 'alishakula tunda'....pole
Huyo mwanaume tangu mwanZo hakuwahi kukufaa...usitarajie atakufaa sasa hivi
Nani hataki uolewe??aiseeSiwez kurud mkuu tatizo mtt nitakaa hivi mpk ln na yy hataki niolewe na mwanaume mwengne nampenda sana mwanangu
My baby...[emoji28]Nani hataki uolewe??aisee
Yawezekana, I hate him [emoji28]Halaf huyo jamaa nahc n yule alienitapeli simu yangu. NDI
Ahsante sana Daby, lkn ndo kwanza umeiona leo hii?? Mbn ipo cku nyng tu sa iv nashkuru nimekata all networks hanisumbui tenaPole thatsit
Sawa mkuuNjooo Nikutoe Out. Km alikataa Ndoa, akakataa Kuish na wewe, akakataa tena na Mtoto Huyo jamaa Hakupendi kbsaa. Najua mtoto unampenda sanaa na lazma umepende mtoto wako hasa uliyemzaa na kumlea kwa shda akafka hapo, Huyo mtoto bado n mdg sana muwah mapema umbadilishe mawazo yke ,umri wake ni wa kupokea chochotee.
Ndiyo nimeiona leo na sijawahi kucomment humuAhsante sana Daby, lkn ndo kwanza umeiona leo hii?? Mbn ipo cku nyng tu sa iv nashkuru nimekata all networks hanisumbui tena
Omg, ndo ivo bac...Ndiyo nimeiona leo na sijawahi kucomment humu
Aseeh jamaa ni chatuOmg, ndo ivo bac...
Yes he is for sure[emoji22]Aseeh jamaa ni chatu
But ni masomo ya maishaYes he is for sure[emoji22]
I know lkn yashapitaBut ni masomo ya maisha
Ok kila la kheriI know lkn yashapita