Sasa mbona ananisumbua?

Hahaha
Hiyo haiwezi fanya usamehewe kabisaa. Bibie hana shidaa alishamsamehe ila kurudiana naye ndo haitatokea, sawa baba mlezi eeeh
 
UKISIKIA MLIMA UMEHAHA AMINI KULIKO KUSIKIA HUYO MWANAUME AMEBADILIKA. HAUKUWA CHAGUO LAKE NDIO MAANA HATA NDOA ULIMLAZIMISHA.
HUYO MWANAO ASIKUPE PRESHA KWA SABABU HAJUI ULIVYOTESEKA NAE KWA SABABU YA HILO JINAMIZI, KAMA MALEZI YA BABA YAKE YANAMFAA ZAIDI AENDE TU LAKINI SIO KURUDIANA NAE.

NB: USHAURI WANGU UTAFANYA KAZI ENDAPO TU UTAKUWA UMESHAMFUTA MOYONI MWAKO😀
 
Dada zetu muwe na akili na muwe mnafanya maamuzi kama binadamu, yaani mtu kakufanyia ushenzi wote huo bado unauliza eti kama mrudiane au vipi?

Songa mbele achana na huyo fala.

Anataka akutumie na usipokuwa makini atakupora mali zako na kukuacha ukihangaika tena.

 
Ahsante sana
 
Rudisha moyo nyuma wewe! Kwani wagombanao ndio wanaopatana, inawezekana amekua kiakili kwa sasa, mpe nafasi nyingine mkaijenge familia
 
Hivi hii busara umeitoa wap shunie Jaman khaa mbna sio wa hvyo wewe.
Back to the topic kama unaomba ushaur means bado unampenda other wise usingejisumbua nae.
So kama unamtaka mrudie otherwise usje ukaanzisha thread nyengne
Mi bado nafuatilia kwa karibu uhusiano wa Shunie ma thatsit

Lazima waraka wetu uboreshwe...
 
Kuna wanaume wana roho mbaya,nadhani hata shetani huwa anawashangaa.
 
Mwanao ana akili mbovu kama za baba yake huenda amemrithi akili kwa kiwango kikubwa ndiyo maana anatishia kuja kumuua mme atakayekuoa, sasa usiendelee kufikiria kurudi kwa huyo jamaa dada, huenda atakutesa tena, mwambie mwanao wewe ndiye mama yake uliyemzaa lazima akuheshimu kama hataki bhasi aondoke akafanye akapige kambi na babaye.(mikwara inasaidia).
 
Maneno mawili tu
KA - TA
Kata mawasiliano nae sio mtu huyo anataka kukutumia, sio yeye wala ndugu zake Leo hii anajua kama ana mtoto eeh!!
Ukitaka M/Mungu akupige kofi la pili La maisha baada ya lile la kufeli kutokana na mapenzi basi rudiana na Huyo Filauni
 
Mie nakulaumu Sana Sana. Sio tu kurudi kwa huyo bwana, Hata huo muda wa kumfikiria unautoa wapi? Kwa nini huo muda wa kumfikiria huyo "mzazi mwenzio" usiutumie kwa kucheka.
 
Mie nakulaumu Sana Sana. Sio tu kurudi kwa huyo bwana, Hata huo muda wa kumfikiria unautoa wapi? Kwa nini huo muda wa kumfikiria huyo "mzazi mwenzio" usiutumie kwa kucheka.
Nacheka sana sa iv I'm not dealing with him nmore mpk naacha kupokea cm ngeni mana najua ni yy tu hamna mwengne, angalau sasa nina furaha ya linah sanga ndo ringtone yangu and is my favourite song.
 
Kama amefikia hatua ya kusema ucporudi atamuua Mtoto, tambua huyo co mtu sahihi kwako
Kwa yote aliyokufanyia Bado unapokea hata cmu yake
Kata mawasiliano nae na huyo mtt mkanye aache upumbavu
Tafuta Mwanaume wa kuishi nae ambae unaona kwako ni sahihi,hiyo itasaidia kuondokana na stress za huyo mpuuzi
 
Huyo mtoto wako naye ana akili za kibashite?

Haiwezekani uhangaike hivyo alafu aje alete madoido eti atamuua mtu. Muache aende kwa baba yake siku akijisikia aje kwako. Si lazima uishi naye.
hhahahaahaha
 
kwanza ulikosea sana kumlazimisha akuoe, hilo ni kosa ambalo akina dada wengi wanakosea, lakini ndio kujifunza maisha pia! siku zote wanasema majuto ni mjukuu, pili huyo mtoto wako atakuwa amechukua roho ya baba ake (roho ngumu) kama ameshajitambua na kumjua babaake mwache aende akaishi nae, ila wewe usijaribu kurudi kwake hata bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…