Sasa inabidi wanawake watuhonge wanaume

Sasa inabidi wanawake watuhonge wanaume

NI MTAZAMO TU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,203
Reaction score
1,001
Ashakumu so matusi wakubwa,

Jana nilikuwa na kichenchedu kimoja maeneo baada ya kunisumbua kwa muda mrefu Jana kimeeleweka.Sasa tulipoingia maeneo ya faragha na kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza.Jogoo kawika mara mbili tu.

Mimi nikaanza kuvaa nguo maana nimetosheka, nikaanza kusikia kiwi! Kiwi! Kiwi! Kuangalia mwenzangu machozi ya kutisha kama Amefiwa. Ikanibidi niulize kulikoni mbona nimekuachia 20, 000 ya nauri.

Akadai hata kwetu pesa zipo mimi sikufuata pesa hapa, nilitaka faraja yako "na pesa chukua" sasa unataka nini mama "Penzi" kwa sauti kubwa, ndipo nilipogundua kwakuwa wanafaidi zaidi yetu. Inapasa sasa watuhonge.
 
Kiongozi ni pesa mdogo sana huyo na pesa yenyewe ninmetupiwa
 
Sasa ulimuachia hilo penzi au bado uliondoka nalo???,MTU amekulilia kabisa wewe bado unaondoka nalo!!!

Kwa sauti ya le profeseri.
 
Haukumridhisha.ungepiga hata moja tu refu.ye angalau apizi Mara mbili we moja.in short amekuona fwala jombaa
 
Tunakoelekea siko, wabillah tawfiq.

Dada yangu Foxy atasema PUNGUANI WAHEED,

Kaka yangu duble atasema BURE KABISA
 
hiyo dharau aisee..demu hajaridhika hadi analia...nwei kwa vile ndo first time sio mbaya
 
big hii tuletee kule kwa wakubwa hapa tunabanana sana hatuwezi kufunguka
 
Yani unajisifu kabisa kwa kutomridhisha mwanamke. Dah! wengine tunaliliwa kwa kuchukua muda mrefu juu ya kipochi manyoya, wewe unaona ufahari wa kuliliwa kwa kutomridhisha.
 
Nachofahamu 1 time inatakiwa uonyeshe ufuuundi hadi next time akusumbue mwenyewe kuwa anataka tena
 
Usije jisahau ukadhani wote wako hivyo, wengine watakuvua nguo usipowapa oesa wanayotaka ukishawafanyisha kazi.
 
Mbona umemuacha mwenzio mpaka analia una matatizo gani hebu nipo mzigo nikunyooshe njia ili asiwe anakulilia tena
 
Yani unajisifu kabisa kwa kutomridhisha mwanamke. Dah! wengine tunaliliwa kwa kuchukua muda mrefu juu ya kipochi manyoya, wewe unaona ufahari wa kuliliwa kwa kutomridhisha.

Siyo kosa lake huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom