mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 679
Kutokana na Milipuko ya GOMS, yale mambo yote mazito yanayolikabili taifa letu yamefunikwa kabisa.. Hasa Dowans, mfumko wa bei, Kupanda kwa umeme, mgao, kujisafisha kwa Chenge, kuchaguliwa kwa EL kua mwenyekiti wa kamati.. Madai ya Katiba mpya, Migomo ya Wanavyuo, Wastaafu eac.. Etc.. Na watawala wetu wameshalitambua hilo.. Ni ku change chorus tu..