Sarafu za shilingi mia tano bado zipo?

Sarafu za shilingi mia tano bado zipo?

Gochavez

Senior Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
171
Reaction score
155
Naomba kujua sarafu za shilingi mia tano bado zipo kwenye mzunguko wa fedha au zimeshaondolewa.

Maana hii nchi kuna vitu vingine vinafanyika kimagumashi magumashi tu au bado zipo kwenye mzunguko au mimi ndo sielewi !
 
Sijui kwa mahali ambapo wewe upo but huku kwetu zishapotea nina mwezi sasa sijakutana na sarafu ya mia tano katika mishemishe zangu
 
Zipo kwenye mzunguko, wk ilopita nimeona abiria akitoa nauli ya mia tano ya sarafu, pia jana konda kamrudishia mtu chenji ikiwamo na hiyo! Ila sijui hazipo za kutosha, maana kuziona ni ngumu! Binafsi mpaka leo hazijanidondokea mkononi.
 
Nadhani itakuwa imeshaondoka.........haipo...........
 
zipo sana tu....ni jana nilipewa change...
 
Zipo sana tu.ila ucpotizama vzr unaweza gombana na mtu ukadhani kakupa 200 hasa wkt wa ucku
 
Mbona mimi sijawahi kuiona sarafu ya 500, watu wengine sijui tunaishi dunia gani, mi bado nakutana na kile kinoti kichafuuuuu.
 
Huku Bongo tuna printer ready to print Money. Tukipata shida tu tunagonga copy.
Shida imeisha sasa back to Normal.
 
Naomba kujua sarafu za shilingi mia tano bado zipo kwenye mzunguko wa fedha au zimeshaondolewa Maana hii nchi kuna vitu vingine vinafanyika kimagumashi magumashi tu au bado zipo kwenye mzunguko au mimi ndo sielewi !
Iringa zipo tunazitumia mkuu.
 
Pamoja na kuwa kazi yangu inahusisha chenji mara kwa mara, lakini hizo sarafu zimekua adimu sana.

Kikwete na Beno Ndulu wanajua wanachokifanya ndani ya nchi hii.
 
Pamoja na kuwa kazi yangu inahusisha chenji mara kwa mara, lakini hizo sarafu zimekua adimu sana.

Kikwete na Beno Ndulu wanajua wanachokifanya ndani ya nchi hii.

Nimecheka sana! sijui umefikiria nin! hapo ndipo jamaa walipo piga mpunga mrefu ukiachana na escro! hela ya kununua karatasi za kuchapisha hela ni ndefu kwahyo jamaa waliamua kupasua pasu!
 
Project ya watu hyo, watu wapiga hela wametambaa.

SINA HAMU NA CCM.
 
Nipo DSM na sijawahi hata kuiona hiyo sarafu.
 
Project ya watu hyo, watu wapiga hela wametambaa.

SINA HAMU NA CCM.

Hiyo project unayosema imeanza mda mrefu sana tangia walipo anza kutoa hzi hela mpya za awamu ya pili pale unaambiwa walipiga hela ndefu sana wakaona haitosh wamekuja na hii project yao nyingine! hii nchi kuna watu wenye hela!
 
Zaidi ya kuiona kwenye picha humu sijawahi kuiona kwa macho yangu wala kuishika.
 
Back
Top Bottom