Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,928
- 1,164
SARAFU MPYA YATOLEWA: BoT leo imetoa sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika rasmi Oktoba 2014, noti za Sh500 zitatumika hadi mzunguko wake utakapoisha.
Km kuna picha tunaomba utuwekee boss, hata hivyo inakuwaje wazindue sarafu Jumapili ambayo sio siku ya kazi?
Source?
Km kuna picha tunaomba utuwekee boss, hata hivyo inakuwaje wazindue sarafu Jumapili ambayo sio siku ya kazi?
Km kuna picha tunaomba utuwekee boss, hata hivyo inakuwaje wazindue sarafu Jumapili ambayo sio siku ya kazi?
Kwani Kuna tatizo sarafu ikizinduliwa Jpili mkuu.
Source?
Ahsante mkuu, naona wameweka picha ya Sheikh Abeid inafanana kabisa na ile ya kwny sarafu ya 200