Santa for Satan!

Santa for Satan!

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,099
Salam!

Usilolijua neno SANTA. lilibadilishwa herufi makusudi kutoka neno SATAN.

Tamaduni za watu wa magharibi huwafundisha watoto wao kumwandikia barua Santa Ili kuchagua zawadi wangependa pokea toka kwake.

Sasa huyo 🎅 avaaye mavazi haya na kugawa zawadi, behind the scene anayeabudiwa ni Satan.

Katika vitu Mungu huchukia ni Ibada ya Sanamu, na Mungu amesema mara nyingi kuwa Yeye ni Mungu mwenye wivu, na hapendi kushare utukufu wake na yeyote.

Ni hayo tu machache kwa wasiojua maana ya 🎅 na kuingia kichwa kichwa mkenge wa kugaiana zawadi kwa JINA la Santa.
 
SI vyema kuiga tamaduni ambazo hatujui chimbuko lake.

Tuhakkikishe anaabudiwa Mungu pekee.

MUNGU ni mmoja tu, na JINA lake ni YESU Kristo/ Yeshua Hamashiach.
 
Salam!

Usilolijua neno SANTA. lilibadilishwa herufi makusudi kutoka neno SATAN.

Tamaduni za watu wa magharibi huwafundisha watoto wao kumwandikia barua Santa Ili kuchagua zawadi wangependa pokea toka kwake.

Sasa huyo 🎅 avaaye mavazi haya na kugawa zawadi, behind the scene anayeabudiwa ni Satan.

Katika vitu Mungu huchukia ni Ibada ya Sanamu, na Mungu amesema mara nyingi kuwa Yeye ni Mungu mwenye wivu, na hapendi kushare utukufu wake na yeyote.

Ni hayo tu machache kwa wasiojua maana ya 🎅 na kuingia kichwa kichwa mkenge wa kugaiana zawadi kwa JINA la Santa.
Pole sana mkuu acha maneno mengi sema uko mkoa gani upate mwaliko wa sikukuu. JF wapo watu wema sana kama mimi usiogope
 
Salam!

Usilolijua neno SANTA. lilibadilishwa herufi makusudi kutoka neno SATAN.

Tamaduni za watu wa magharibi huwafundisha watoto wao kumwandikia barua Santa Ili kuchagua zawadi wangependa pokea toka kwake.

Sasa huyo 🎅 avaaye mavazi haya na kugawa zawadi, behind the scene anayeabudiwa ni Satan.

Katika vitu Mungu huchukia ni Ibada ya Sanamu, na Mungu amesema mara nyingi kuwa Yeye ni Mungu mwenye wivu, na hapendi kushare utukufu wake na yeyote.

Ni hayo tu machache kwa wasiojua maana ya 🎅 na kuingia kichwa kichwa mkenge wa kugaiana zawadi kwa JINA la Santa.
Santa" primarily means "saint" or "holy" (from Latin sanctus), used in Spanish and Italian for female saints (e.g., Santa Maria), but it's globally known as a shortened name for Santa Claus.
 
Santa" primarily means "saint" or "holy" (from Latin sanctus), used in Spanish and Italian for female saints (e.g., Santa Maria), but it's globally known as a shortened name for Santa Claus.
Santa was originated from western culture.

Ni Mila za kimagharibi,

Wana tamaduni na ibada za kimila kwa asili yao ambayo wamekuwa wakifanya kuabudu Miungu yao tangu enzi na enzi.

Tamaduni hizi zimeanza kabla ya ukristo kuja,

Walipoupokea ukristo,wakachukua na Mila zao wakibadili Mila ziendane na dini.
 
Pole sana mkuu acha maneno mengi sema uko mkoa gani upate mwaliko wa sikukuu. JF wapo watu wema sana kama mimi usiogope
Unatakiwa uhakikishe Katika kusherehekea, Mungu mmoja YESU Kristo ndiye anayeabudiwa, na SI mwingine.
 
Santa was originated from western culture.

Ni Mila za kimagharibi,

Wana tamaduni na ibada za kimila kwa asili yao ambayo wamekuwa wakifanya kuabudu Miungu yao tangu enzi na enzi.

Tamaduni hizi zimeanza kabla ya ukristo kuja,

Walipoupokea ukristo,wakachukua na Mila zao wakibadili Mila ziendane na dini.
Chai Santa stand for Saint especially Santa Claus acha ngonjera za Kisabato bob celebrate kumbukumbu ya kuzaliwa mfalme,ni ibilisi tu na wafuasi wake mnachukia kuzaliwa Mwokozi wa ulimwengu kemea Roho ya Herode vaa Roho ya Mamajusi enjoy Christmas dude!
😅😅😅
 
Chai Santa stand for Saint especially Santa Claus acha ngonjera za Kisabato bob celebrate kumbukumbu ya kuzaliwa mfalme,ni ibilisi tu na wafuasi wake mnachukia kuzaliwa Mwokozi wa ulimwengu kemea Roho ya Herode vaa Roho ya Mamajusi enjoy Christmas dude!
😅😅😅
Tarehe 25 December alizaliwa nani?

Fuatilia.
 
Tarehe 25 December alizaliwa nani?

Fuatilia.
Hatusherekei tarehe ila tunasherekea kumbukumbu ya kuzaliwa Mwokozi hata ingekua tarehe 5 mwezi wa 5,10 mwezi 7 yote ingebaki kua kumbukumbu wenye akili waliichagua 25 December kwa maana muhimu sana,sasa ukitaka tuanze kudeal na tarehe wakati tunajua Calender ya Gregory sio ya Julian au ile ya kiyahudi waliyotumia wao utakua ni wendawazimu maana kiuhalisia kuna lost of memory katika kipindi cha reset ndio maana wakapendekeza hiyo ili kuweka kumbukumbu sawa so what???
 
Hatusherekei tarehe ila tunasherekea kumbukumbu ya kuzaliwa Mwokozi hata ingekua tarehe 5 mwezi wa 5,10 mwezi 7 yote ingebaki kua kumbukumbu wenye akili waliichagua 25 December kwa maana muhimu sana,sasa ukitaka tuanze kudeal na tarehe wakati tunajua Calender ya Gregory sio ya Julian au ile ya kiyahudi waliyotumia wao utakua ni wendawazimu maana kiuhalisia kuna lost of memory katika kipindi cha reset ndio maana wakapendekeza hiyo ili kuweka kumbukumbu sawa so what???
Saturnalia 17-25 December

Kwanini imeanza Karne ya nne?

Kwanini mitume hawakusherehekea?
 
Saturnalia 17-25 December

Kwanini imeanza Karne ya nne?

Kwanini mitume hawakusherehekea?
May be hawakua interested na kusherekea kwani lazima washerekeee wao ndio na sisi tuige?
Hayo ni matumizi mabaya ya kufikiri,
Kumbuka majira na nyakati hubadilika,tamaduni na mapokeo vile vile so watu wakajiongeza kama walikua wanasherekea sikukuu zao binafsi na za miungu yao kwanini wasisherekee kuzaliwa kwa Mwokozi wa Ulimwengu baada ya kuijua kweli?
Mimi naona tatizo sio tarehe wala watu fulani walifanya au hawakufanya kikubwa ni utashi na akili timamu Mungu hakutuumba tuwe maroboti na watu wa ndio mzee alituumba kua wabunifu so I proudly to see Crazy dudes walikuja na idea ya kitofauti gues what hadi wapagani na wapinzani wote wanasherekea Kumbukumbu ya Mwokozi wetu Yashua Hamashiach the Lord himself,
Enjoy Christmas dude dont complicate mambo utateseka kwa kila angle ku judge judge mambo!
😅😅😅
 
Mungu ni wengi,Muumba ni mmoja,Yesu sio Muumba ila dunia ililazimisha aabudiwe rejea
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma(mtume).

Hata chrismass na pasaka ni ibada za kitu kingine kabisa tofauti na wengi wajuavyo.
 
Screenshot_20251216_090005_Chrome.jpg
Salam!

Usilolijua neno SANTA. lilibadilishwa herufi makusudi kutoka neno SATAN.

Tamaduni za watu wa magharibi huwafundisha watoto wao kumwandikia barua Santa Ili kuchagua zawadi wangependa pokea toka kwake.

Sasa huyo 🎅 avaaye mavazi haya na kugawa zawadi, behind the scene anayeabudiwa ni Satan.

Katika vitu Mungu huchukia ni Ibada ya Sanamu, na Mungu amesema mara nyingi kuwa Yeye ni Mungu mwenye wivu, na hapendi kushare utukufu wake na yeyote.

Ni hayo tu machache kwa wasiojua maana ya 🎅 na kuingia kichwa kichwa mkenge wa kugaiana zawadi kwa JINA la Santa.
 
Salam!

Usilolijua neno SANTA. lilibadilishwa herufi makusudi kutoka neno SATAN.

Tamaduni za watu wa magharibi huwafundisha watoto wao kumwandikia barua Santa Ili kuchagua zawadi wangependa pokea toka kwake.

Sasa huyo 🎅 avaaye mavazi haya na kugawa zawadi, behind the scene anayeabudiwa ni Satan.

Katika vitu Mungu huchukia ni Ibada ya Sanamu, na Mungu amesema mara nyingi kuwa Yeye ni Mungu mwenye wivu, na hapendi kushare utukufu wake na yeyote.

Ni hayo tu machache kwa wasiojua maana ya 🎅 na kuingia kichwa kichwa mkenge wa kugaiana zawadi kwa JINA la Santa.
Nguvu hii ya kupambana na sherehe za wakristo ungeielekeza kupambana dhidi ya umasikini unaokuandama wewe na familia yako.
 
Nguvu hii ya kupambana na sherehe za wakristo ungeielekeza kupambana dhidi ya umasikini unaokuandama wewe na familia yako.
Mimi ni mkristo pia,

SI msabati wala Islam.

Tufuate maandiko jinsia yalivyo,

Mapokeo ya kipagani kuingizwa ndani ya kanisa kinyemela tuyakatae.

YESU na azaliwe mioyoni mwetu kwa up ya.

Aamin
 
May be hawakua interested na kusherekea kwani lazima washerekeee wao ndio na sisi tuige?
Hayo ni matumizi mabaya ya kufikiri,
Kumbuka majira na nyakati hubadilika,tamaduni na mapokeo vile vile so watu wakajiongeza kama walikua wanasherekea sikukuu zao binafsi na za miungu yao kwanini wasisherekee kuzaliwa kwa Mwokozi wa Ulimwengu baada ya kuijua kweli?
Mimi naona tatizo sio tarehe wala watu fulani walifanya au hawakufanya kikubwa ni utashi na akili timamu Mungu hakutuumba tuwe maroboti na watu wa ndio mzee alituumba kua wabunifu so I proudly to see Crazy dudes walikuja na idea ya kitofauti gues what hadi wapagani na wapinzani wote wanasherekea Kumbukumbu ya Mwokozi wetu Yashua Hamashiach the Lord himself,
Enjoy Christmas dude dont complicate mambo utateseka kwa kila angle ku judge judge mambo!
😅😅😅
Sawa umenena vyema,

Lakini umesahau kuwa Neno la Mungu ni lile lile, halibadiliki.

Anyway sipo kudiscourage ibada, ibada ni Kila siku, na ni vyema kukusanyika kumwabudu Mungu Kila siku,

Ninachopinga ni kuingizwa mapokeo kinyemela na kuyawekea utaratibu.
 
Back
Top Bottom