- Thread starter
- #21
Mungu ni mmoja tu,Hayo mengine mi siyajui Merry Christmas JF Members Cheears!!!
Na JINA la Mungu huyo mmoja tulilopewa wanadamu litupasalo lkuokolewa kwalo ni YESU Kristo.// Yeshua Hamashiach.
Amen
Mungu ni mmoja tu,Hayo mengine mi siyajui Merry Christmas JF Members Cheears!!!
Hii ni ukumbusho tu watu wameamua kuienzi hii 25 dec kama Tz wanavyo ienz 9 dec kwan Tanganyika s ilikua imepata uhuru before hyo tareheTarehe 25 December alizaliwa nani?
Fuatilia.
Acha kelele mkuu, tafuta pilau ule usisumbue watuSawa umenena vyema,
Lakini umesahau kuwa Neno la Mungu ni lile lile, halibadiliki.
Anyway sipo kudiscourage ibada, ibada ni Kila siku, na ni vyema kukusanyika kumwabudu Mungu Kila siku,
Ninachopinga ni kuingizwa mapokeo kinyemela na kuyawekea utaratibu.
Miungu na taratibu za kipagani za kirumi na kinafharibi ziwekwe pembeni,Kwani Yesu mwenyw yule anaekaa kanisani si ni mzungu pia?
Mbona hakuna shida maana ukristo ni umagharibi na muasisi ni Roma empire
Sasa kuna shida gani hapo?
Neno la Mungu halibadiliki kwa Muktadha wake na ujumbe wake,wanaobadilika ni watu,huo mstari hua mnautumia vibaya na kushindwa kuelewa Ukielewa maana ya Neno (Word of God)Sawa umenena vyema,
Lakini umesahau kuwa Neno la Mungu ni lile lile, halibadiliki.
Anyway sipo kudiscourage ibada, ibada ni Kila siku, na ni vyema kukusanyika kumwabudu Mungu Kila siku,
Ninachopinga ni kuingizwa mapokeo kinyemela na kuyawekea utaratibu.