Huyu pimbi atakuwa ana mawe mengine kayaweka ndani
Jane mbona una hasira?
Huyu pimbi atakuwa ana mawe mengine kayaweka ndani
Udogo na ukubwa wa biashara/mfanyabiashara unakuwa determined na matakwa ya watawala (Only in TZ). Utashangaa Mangi anaeuza duka la jumla akaitwa mfanya biashara mkubwa kwa capital ya TSh 20m lakini kina Laizer wao ni wachimbaji wadogo walio wanyonge.Mtu mwenye $5M liquid Cash mnamuita mdogo, ila mfanyabiashara mwenye $15000 anaitwa mfanyabiashara wa kati na kila siku TRA wapo naye
Siasa za hii nchi bhana.
Udogo na ukubwa wa biashara/mfanyabiashara unakuwa determined na matakwa ya watawala (Only in TZ). Utashangaa Mangi anaeuza duka la jumla akaitwa mfanya biashara mkubwa kwa capital ya TSh 20m lakini kina Laizer wao ni wachimbaji wadogo walio wanyonge.
Haya ndiyo maajabu ya usomi wetu na wasomi wetu.Mtu mwenye $5M liquid Cash mnamuita mdogo, ila mfanyabiashara mwenye $15000 anaitwa mfanyabiashara wa kati na kila siku TRA wapo naye
Siasa za hii nchi bhana.
Si bado anachimbaHuyu jamaa siku hizi haokoti tena Tanzanite au hataki umbea
Alikuwa wa michongo.Si bado anachimba
Au mganga wake alifariki?Si bado anachimba
Si atampata mwingineAu mganga wake alifariki?
Tuliongopewa sana na kiongozi wa malaikaSi atampata mwingine