DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mtia nia wa ubunge wa jimbo la Makambako Deo Sanga,akizungumza na wajumbe wa kata ya Makambako akiwaomba wamchague, zikiwa zimesalia saa chache kwa wajumbe kuchagua watakao beberusha bendera ya chama cha mapainduzi CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Chanzo: Elolama Fm
Chanzo: Elolama Fm