GE2025 Sanga: Hata kama mimi ni mzee bungeni siendi kubeba mawe

GE2025 Sanga: Hata kama mimi ni mzee bungeni siendi kubeba mawe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mtia nia wa ubunge wa jimbo la Makambako Deo Sanga,akizungumza na wajumbe wa kata ya Makambako akiwaomba wamchague, zikiwa zimesalia saa chache kwa wajumbe kuchagua watakao beberusha bendera ya chama cha mapainduzi CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.


Chanzo: Elolama Fm​
 
Jah people haendi Bungeni kubeba chuma 😂
 
Back
Top Bottom