Sanaa ya maandamano na sikukuu: Nyuma ya pazia kuna wakubwa

KADA08

Member
Dec 2, 2017
44
152
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
 
PhD holder, lakini umeshindwa hata kuelewa ibara moja tu ya katiba inayosema MAANDAMANO NI HAKI! nchi ina bahati mbaya sana hii!
Nataka nimwambie hiyo habari hausiani na hili jukwaa la Sports
Lakini kama amejiunga juzi ili alete uzi kama huu kakosea sana maana huku hakuna vilaza wenzie wa buku saba
Yaani kajiunga juzi hajui hata jukwaa linalohusu ujinga wake anaweka popote tu
Namwambia tena arudi akasome upya hiyo PhD
Wanaopotea wanajipoteza
Wanaokufa wanajiua
Wapinzani kufungwa wanajifunga

Dah huyo ni mtanzania kabisa anaepoteza muda wake kuzungumzia maandamano felia na njama za mabwanyeye
Hana akili huyo jamaa na makala yake ndeeefu
Hawa ndo wanaomdanganya jiwe atembelee ndani ya gari bulleted siku ya muungano vilaza kweli nyie
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
Msipende kupotosha haitasaidia kujenga sana sana mtabomoa..!

Hivi ni nani aaiyejua haya:-

1: Vijana hawana ajira, tena graduates na kibaya hakuna mkakati wowote wa makusudi/mahususi kushughulikia hili.

2: Nani asiyejua demokrasia inaminywa, watu kupotea au kuuawa kama wanakosa why wasifungwe??

3: Nani asiyejua uhuru wa maoni unabanwa tena si kidogo bali sana. Bunge limefungwa watu wanateswa na kunyanyaswa just to kusema serikali imefanya hivi na ilitakiwa kufanya hivi??

4: Nani asiyejua kuwa tume ya uchaguzi inachangamoto kubwa sana?

5: Yupi asiyejua jeshi la polisi linavunja sheria kwa kuwatesa na kuwashikilia raia bila kuwafikisha kwenye vyombo vya haki??

6: Nani asiyejua ubabe unyonyaji wa viongozi wa serikali na mihimili mingine kama bunge wanaishi maisha ya anasa huku huduma za jamii kama maji, afya, elimu, miundo mbinu ya usafiri ikiwa mibaya kupita maelezo??

7: Nani asiyejua kuwa umaskini wa kupindukia unatukabili wa watanzania huku rasimali kama madini, gesi, mistu na wanyama pori wakifaidi wachache???

UKINIJIBU HAYA MASWALI NITAKUJA KUKUPA MENGINE.

Najua utakurupuka na kudai mimi ni mpinzani, kwanza kabisa siyo mwanasiasa ingawa ni mwanachama wa CCM.
 
Msipende kupotosha haitasaidia kujenga sana sana mtabomoa..!

Hivi ni nani aaiyejua haya:-

1: Vijana hawana ajira, tena graduates na kibaya hakuna mkakati wowote wa makusudi/mahususi kushughulikia hili.

2: Nani asiyejua demokrasia inaminywa, watu kupotea au kuuawa kama wanakosa why wasifungwe??

3: Nani asiyejua uhuru wa maoni unabanwa tena si kidogo bali sana. Bunge limefungwa watu wanateswa na kunyanyaswa just to kusema serikali imefanya hivi na ilitakiwa kufanya hivi??

4: Nani asiyejua kuwa tume ya uchaguzi inachangamoto kubwa sana?

5: Yupi asiyejua jeshi la polisi linavunja sheria kwa kuwatesa na kuwashikilia raia bila kuwafikisha kwenye vyombo vya haki??

6: Nani asiyejua ubabe unyonyaji wa viongozi wa serikali na mihimili mingine kama bunge wanaishi maisha ya anasa huku huduma za jamii kama maji, afya, elimu, miundo mbinu ya usafiri ikiwa mibaya kupita maelezo??

7: Nani asiyejua kuwa umaskini wa kupindukia unatukabili wa watanzania huku rasimali kama madini, gesi, mistu na wanyama pori wakifaidi wachache???

UKINIJIBU HAYA MASWALI NITAKUJA KUKUPA MENGINE.

Najua utakurupuka na kudai mimi ni mpinzani, kwanza kabisa siyo mwanasiasa ingawa ni mwanachama wa CCM.
Dah....kwahiyo ulikuwa na ushauri gani kwa serikali chief?
 
Msipende kupotosha haitasaidia kujenga sana sana mtabomoa..!

Hivi ni nani aaiyejua haya:-

1: Vijana hawana ajira, tena graduates na kibaya hakuna mkakati wowote wa makusudi/mahususi kushughulikia hili.

2: Nani asiyejua demokrasia inaminywa, watu kupotea au kuuawa kama wanakosa why wasifungwe??

3: Nani asiyejua uhuru wa maoni unabanwa tena si kidogo bali sana. Bunge limefungwa watu wanateswa na kunyanyaswa just to kusema serikali imefanya hivi na ilitakiwa kufanya hivi??

4: Nani asiyejua kuwa tume ya uchaguzi inachangamoto kubwa sana?

5: Yupi asiyejua jeshi la polisi linavunja sheria kwa kuwatesa na kuwashikilia raia bila kuwafikisha kwenye vyombo vya haki??

6: Nani asiyejua ubabe unyonyaji wa viongozi wa serikali na mihimili mingine kama bunge wanaishi maisha ya anasa huku huduma za jamii kama maji, afya, elimu, miundo mbinu ya usafiri ikiwa mibaya kupita maelezo??

7: Nani asiyejua kuwa umaskini wa kupindukia unatukabili wa watanzania huku rasimali kama madini, gesi, mistu na wanyama pori wakifaidi wachache???

UKINIJIBU HAYA MASWALI NITAKUJA KUKUPA MENGINE.

Najua utakurupuka na kudai mimi ni mpinzani, kwanza kabisa siyo mwanasiasa ingawa ni mwanachama wa CCM.
Mbona hujaandamana?
 
Asañte mkuu, wafadhiri wa maandamano huko nje wanamtumia chizi fresh mange kisa ni mtanzania. Humu ndani nao wameona wamtumie mange kwani wanahisi humu ndani wao watakamatwa. Tushaijua mipango yao na taratibu watatuelewa tu ...Tz ni nchi huru
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
Makala imetulia. Hongera zako. Ingefaa ichapishwe kwenye jukwaa la siasa na sio la michezo.
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
Congrats Bro.
Huku hatumdharau mtu yeyote. Akijipendekeza mtu kuandamana tunataka tumtoe Demo mpaka wadhamini wao wajitokeze.
Polepole tu mpaka tutawajua wote.
 
Msipende kupotosha haitasaidia kujenga sana sana mtabomoa..!

Hivi ni nani aaiyejua haya:-

1: Vijana hawana ajira, tena graduates na kibaya hakuna mkakati wowote wa makusudi/mahususi kushughulikia hili.

2: Nani asiyejua demokrasia inaminywa, watu kupotea au kuuawa kama wanakosa why wasifungwe??

3: Nani asiyejua uhuru wa maoni unabanwa tena si kidogo bali sana. Bunge limefungwa watu wanateswa na kunyanyaswa just to kusema serikali imefanya hivi na ilitakiwa kufanya hivi??

4: Nani asiyejua kuwa tume ya uchaguzi inachangamoto kubwa sana?

5: Yupi asiyejua jeshi la polisi linavunja sheria kwa kuwatesa na kuwashikilia raia bila kuwafikisha kwenye vyombo vya haki??

6: Nani asiyejua ubabe unyonyaji wa viongozi wa serikali na mihimili mingine kama bunge wanaishi maisha ya anasa huku huduma za jamii kama maji, afya, elimu, miundo mbinu ya usafiri ikiwa mibaya kupita maelezo??

7: Nani asiyejua kuwa umaskini wa kupindukia unatukabili wa watanzania huku rasimali kama madini, gesi, mistu na wanyama pori wakifaidi wachache???

UKINIJIBU HAYA MASWALI NITAKUJA KUKUPA MENGINE.

Najua utakurupuka na kudai mimi ni mpinzani, kwanza kabisa siyo mwanasiasa ingawa ni mwanachama wa CCM.
Stupidity. Kwani ukiandamana ndio maswali yako yatajibika? Huyo Dr amechambua vizuri kabisa na ni fact tu.
 
Msipende kupotosha haitasaidia kujenga sana sana mtabomoa..!

Hivi ni nani aaiyejua haya:-

1: Vijana hawana ajira, tena graduates na kibaya hakuna mkakati wowote wa makusudi/mahususi kushughulikia hili.

2: Nani asiyejua demokrasia inaminywa, watu kupotea au kuuawa kama wanakosa why wasifungwe??

3: Nani asiyejua uhuru wa maoni unabanwa tena si kidogo bali sana. Bunge limefungwa watu wanateswa na kunyanyaswa just to kusema serikali imefanya hivi na ilitakiwa kufanya hivi??

4: Nani asiyejua kuwa tume ya uchaguzi inachangamoto kubwa sana?

5: Yupi asiyejua jeshi la polisi linavunja sheria kwa kuwatesa na kuwashikilia raia bila kuwafikisha kwenye vyombo vya haki??

6: Nani asiyejua ubabe unyonyaji wa viongozi wa serikali na mihimili mingine kama bunge wanaishi maisha ya anasa huku huduma za jamii kama maji, afya, elimu, miundo mbinu ya usafiri ikiwa mibaya kupita maelezo??

7: Nani asiyejua kuwa umaskini wa kupindukia unatukabili wa watanzania huku rasimali kama madini, gesi, mistu na wanyama pori wakifaidi wachache???

UKINIJIBU HAYA MASWALI NITAKUJA KUKUPA MENGINE.

Najua utakurupuka na kudai mimi ni mpinzani, kwanza kabisa siyo mwanasiasa ingawa ni mwanachama wa CCM.
Umehoji kw hoja hongera kwa hilo... Lakini n kweel tunalalamika juu ya demokrasia lakn swali je demokrasia kwa nan??? Tabaka lipi?? Ukichunguza hapa utaona ni tabaka la wanasiasa n wanaharakat ambao kupitia huko wanapata mlo wa sku. Lakn ukienda maisha ya watu hasa vijjn hali n mbaya sana kwan kuna baadhi y familia hata mlo n mgumu kw siku je huyu mtu wa aina hyo atapata mahubiri y demokrasia sawasaw!!! Mfano kwenye elimu watu wanaponda elimu bure lakn nawaambia elimu bure imesaidia saaaaana... Nakumbuka bnafs kipindi nasoma jinsi ambavyo nlisumbuana n wazaz ili npate hiyo karo n michango mingine.. Lakn pia tukumbuke jamii nyng hasa za wafugaji elimu kwetu si kipaumbele kabsa n watoto wengi hawapat haki hii. Lkn Leo tukikaa kuhubr demokrasia ambayo hata haimnufaish mtu ambaye hana maji... Elimu... Afya bali n nufaa kw watu wenye nazo tutakua tunakosea.... Lakn umezungumzia kuhusu starehe za wabunge nkweel tunaona hasa viongoz w umma wanavyoinjoy starehe alimhali watu hawana huduma muhimu lakn hebu tizama watu walivyopga makelel baada ya safar za nje kuzuiwa nani kafurahi tofaut na mtu wa maisha ya chini.. Je ni kweeli hatuoni hata wafanyakazi tu wa umma na mawazir wanavyoenda site awamu hii???? Wapendwa kweeli hatuoni rais anavyojarbu kuishi maisha ya kawaida kabsa???? bnafs n funzo kw vizaz vjavyo hasa viongozi n nadra saana kw rais kuish maisha haya hata kama mtasema ana act... Je hatuon hata hotuba znavyogusa maisha halisi y watu??? Tunapohoji haya maswali tuelewe kabsa kuna watu w kawaida demokrasia S kitu... Tembelea maeneo kama kakonko... Tabora vijjn makazi... Ilamata.... Utaona watu wanaishi... Nkweli rais kabana kw kiasi fulani lakn kwangu naona kama n funzo koz anafundsha watu wajue kujitafutia nenda vyuo vkuu sashv utaona jins wanfunz walivyo wajasriamali sashv nenda hata udsm utajionea Mwenyewe... Pili sisi tunanafas kubwa mno kw jamii kuielimisha juu ya masuala mbalimbali koz ignorance bad n tatzo saana... Nenda mashuleni utaona pia sashv maadili y watoto utagundua nafas y wazaz n walimu kikubwa kinachohubiriwa n siasa tu.. All in all Rais hawezi kutimiza kila matakwa y mtu lakn ukwel nkwamba kw tulipokua tumefikia yuko sahh... Na mnyonge mnyongeni lakni haki yake mpeni...
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
na kagame anafanya nini Mererani...???
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
Utajiri upi arifu me naona taabu tu maisha haya kila Leo afadhali ya Jana!Mbaya zaidi ata afueni ya kulalamika, kukosoa,hamna ukisubutu kukutwa unageuzwa mbwa koko kwa mateke na visu na risasi za moto zinazopigwa hewani zinakata kona kuufumua ubongo wa MTU alieko ardhini.
 
PhD holder, lakini umeshindwa hata kuelewa ibara moja tu ya katiba inayosema MAANDAMANO NI HAKI! nchi ina bahati mbaya sana hii!
Phd za Bongo ni z kukalili, hizo ni Phd za kwenye makaratasi sio za kichwani.

Elimu ya Bongo ni elimu ya hovyo sana, haiwafanyi wanafunzi kufikiri, inawafanya kukalili, utashangaa mtu ana Phd lakini kichwani ni mweupe.

Uwezo wao wa kujenga hoja based on facts ni mdogo, maisha yao nje ya shule hawajui kitu kabisa.

Ungetegemea Phd kama hii iweke hoja za kisomi zenye reference za kisheria au kikatiba, amebaki kupiga porojo. Hovyo kabisa.
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
Pamoja na hiyo Phd unayojinasibu nayo hujasema serikali ifanye nini kukomesha "maandamano?"
Unadhani yanatoka kwa maigizo n.a. kuzuia kwa maguvu ?

Tz tuna kazi sana ya kupata "maendeleo" kama aina ya wananchi n.a. viongozi ni wenye mawazo haya.
 
Back
Top Bottom