Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,461
Kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.
Chanzo cha habari hii ni mimi mwenyewe. Taarifa zaidi subiri saa 10 kupitia tbc wakionesha uchaguzi wa mwenyekiti moja kwa moja. Mola amponye.
Kwa kuwa mtoa taarifa ni verified user wa JF
Kwa kuwa alithibitisha kuwa na uthibitisho wa taarifa ya kuugua kwa Mhe. Sitta
Kwa kuwa mtoa taarifa ni mwanataaluma anayefahamu miiko ya kazi yake,
Kwa kuwa mtoa taarifa anajua kanuni na sheria za JF.
Imethibitika kuwa taarifa aliyoileta jukwaani si ya kweli. Amevunja kanuni na sheria za JF.
Amefungiwa kwa kosa hilo.
Angalizo linatolewa kwa wote wenye mwenendo unaofanana na huu
Paw