wizi mtupu,mzee sitta kaushtukia..mmesahau kule mbarali walisema hivyo hivyo matokeo yake mchele ambacho ni chakula kikuu tanzania uzalishaji ukadrop ile mbaya na mbolokabuli yenyewe haikuzalishwa wala nini,waongo bwana wanakujaga na gia hiyo ili wapate ardhi tu
Hivi SS, ambaye anasafiri na ndege kila siku, anaweza kusema kweli Tanzania tunatumia ardhi yetu vizuri? Ukiruka na ndege kuelekea S. Africa, utaona kuwa ukishatoka tu juu ya anga ya DSM, Tanzania yote ni pori. Hii ni tofauti na unapokuwa juu ya S. Africa – unakuta kila sentimita imetumiwa na mashamba makubwa.....
SS is damn right, keshaona nyuma ya pazia ya huo mradi kuna nini ili kupinga lazima apinge in indirect way. Hayo yote uliyosema The stig mh. SS anayafahamu bt kuna ufisadi ndani yake hapo.
SS ni mnafiki namba mmoja Tanzania
Tumwangalie na yeye ktk nyuma ya pazia lake siyo kwamba anafanya yote haya kwakuwa anataka uraisi na anatumia hizi njia kwakujipatia umaarufu wa kisiasa?
Mzee sitta ana busara sana! Sio kama mkenua meno vasco da gama!
kumbe kipimo cha busara ni kauli za mdomo